Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 3,475
- 5,900
Yes, mie hapa imebidi nitumie vpn inafanya kazi
View: https://www.facebook.com/hpolepole/videos/1035169325065298
Yes, mie hapa imebidi nitumie vpn inafanya kazi
Bila VPN hutoboi.Wamefunga Youtube
kupitia brave browser inapiga kazi fresh bila vpnBila VPN hutoboi.
subira tu -- ila so far matarajio na kilichopo mzani haujabalance --- tusubiri tuNaona sijui wamemroga? naona kama vile hajui anachokiongea au tusubiri?
Nimekutana nayo mahali ila sijajua iko genuine kiasi gani, naona network kwangu iko chinii sana sana
![]()
Join our Cloud HD Video Meeting
Zoom is the leader in modern enterprise cloud communications.us06web.zoom.us
View: https://web.facebook.com/hpolepole/videos/mkutano-wa-ndg-polepole-na-wanahabari/1035169325065298/?mibextid=wwXIfr&rdid=Rz25t8IksKaEfHfH
Hio zoom meeting bado inafanya kazi mkuu?kupitia brave browser inapiga kazi fresh bila vpn
si kuna link ya facebook imewekwa humu inapiga kazi fresh, au laHio zoom meeting bado inafanya kazi mkuu?
Nilifikiri ni kifaa changu peke yakeYouTube hapa nilipo haifanyi kazi
si kuna link ya facebook imewekwa humu inapiga kazi fresh, au la
View: https://www.youtube.com/watch?v=mr0JB3RmyhU kama youtube ipo fresh kwako ila mpaka sasa 0 - 0, mbungi inaendelea lakini
Hivi ni threat kiasi cha kumzimia mtandao! Si Hana hoja, wamuache aseme watumie anachokisema kumpinga!ishakua blocked, dadeeeki
si kuna link ya facebook imewekwa humu inapiga kazi fresh, au la
View: https://www.youtube.com/watch?v=mr0JB3RmyhU kama youtube ipo fresh kwako ila mpaka sasa 0 - 0, mbungi inaendelea lakini
nenda facebook, nimeweka link hapoSioni chochote, zoom yenyewe inasema waiting for the host to start the meeting...
Nikajua tatizo ni kwangu tuMtandao wa Youtube haufanyi kazi kabisa.
anasema shule ya UONGOZI ilikua shida kwa waatawala japo hawataji majina, kaanza kumtaja NdugaiHivi ni threat kiasi cha kumzimia mtandao! Si Hana hoja, wamuache aseme watumie anachokisema kumpinga!