johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Dunia ya Leo nguvu iko kichwani siyo mikononi 😂Bona wanatumia nguvu na gharama kubwa kupambana na mtu ambae hana geshi wala asksari polisi
Dunia ya Leo nguvu iko kichwani siyo mikononi 😂Bona wanatumia nguvu na gharama kubwa kupambana na mtu ambae hana geshi wala asksari polisi
Hizi ni ishara za kuwa wameishapoteanaa, wameisha ingiwa na uwogaa tayariNa wenyewe wana Kila kitu🤣
Uongozi ni kaziSala ya kutubu au?
Kazi ni uongoziUongozi ni kazi
Mkuu mbona unaonekana kupanic hivi....kwani wengine wakimsikiliza wewe unapungukiwa nini....kama wewe hupendi kumsikiliza basi Acha wanaopenda wamsikilize!!!Arekodi nini mkuu yaan kwa mfano wewe ulipenda kumsikia akisema nini?
Kitu cha maana ukimaanisha nini?hakuna kitu cha maana pia
Hakuna niliposema sipendi kumsikiliza mkuu wewe bado hujanielewa ila utanielewa akishamaliza kuongea, kwa sasa acha nieche uelewe km ulivyoelewaMkuu mbona unaonekana kupanic hivi....kwani wengine wakimsikiliza wewe unapungukiwa nini....kama wewe hupendi kumsikiliza basi Acha wanaopenda wamsikilize!!!
Maelezo ni yale yale hujaelewa nini?Kitu cha maana ukimaanisha nini?
Mambo ya kutoa link pia ni rahisi hackers kufanya yao maana inaweza tolewa link fekina nzi wa lumumbaMpaka uwashe VPN
Angeenda live kwenye YouTube , haya mambo ya link , kibongo bongo bado sana
Na uzuri wa YouTube live unaweza uliza swali live
media inayorusha huko youtube - ndo nilichomaanishaKitu cha maana ukimaanisha nini?
Kuna mtu ameniambia wamefungia YouTube Tanzania .
Serikali ya huyu bibi mbona waoga hivyo au walijua ataruka live YouTube sasa wameenda kufunga zoom.
Niliingia mwanzoni ila wamejaa Lumumba buku 7 wamewasha mic ni wengi ni kelele tu nikatoka.
media inayorusha huko youtube - ndo nilichomaanisha