Hii Hapa Link ya Polepole Conference

Hii Hapa Link ya Polepole Conference

Katiba kama wangeweza kuipindisha pale 2021 ingekuwa mbaya zaidi.

Maoni yangu yanaishia hapa
Naunga mkono na mimi huwa niko against na watu wanaosema nchi ingechukuliwa na Venance , si sawa nchi ikiishaingia utawala wa kijeshi basi huwa hairudi kuwa sawa kidemokrasia.

Namuunga mkono kwenye hili la sasa January Samia kujipitisha gizani kwa mkono wa Kikwete na kuwa mgombea pekeyake kwa ule msemo wa "fomu ni moja tu"

Kuhusu kumuamini Polepole mimi ninaamini hayuko pekeyake ila ni mwanzo wa wale waliochukia Samia kujipitisha na yule mzee alipopeleka kesi mahakamani wakamfuta uanchama halafu msajili wa vyama yuko kimya.
 
1752832898359.png
 
Back
Top Bottom