Hii clip imenitia simanzi Sana

Hii clip imenitia simanzi Sana

Movie kama za SAW siwezi angalia, sasa kitu kama hichi cha kweli cha kusikitisha nitaweza?. Sifungui.
 
Roho inaniuma jamani Baba wa watu kafa vibaya😭 may his soul Rest in peace. Wasomali washenzi😭😭
Kafaje mbona hamsemi wengine Vegetarian tukiona minofu inatupa shida,kachijwa au kapondwapondwa
 
Edited. Ukitaka kuamini iangalie kwa makini anapopigwa risasi
1.Risasi ya kichwa ila analala na kujinyosha
2. Hafurukuti kuonyesha kuwa brain connection imekuwa disturbed.
3. Anaongea kwa ufasaha kana kwamba amepigwa risasi ya mguu ujue ubongo una control mpaka speech.
Ilikuwa ni njia ya kutuma ujumbe


Sent using Jamii Forums mobile app
Basi bora hata iwe hivyo basi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani haukuona ile ya mwaka juzi kama sikosei, yenyewe haikuwa risasi ni mapanga, watu wamepangwa mstari wanachinjwa kama kuku. Magaidi washenzi sana, ni vile tu kuwa kuna nguvu kubwa nyuma yao kuwasapoti wafanye wanachofanya.
 
acha mihemko mkuu jamaa kaongea ukweli ambao masikio yako hayataki kusikia, askari amesaini kufa akiitetea nchi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo akisha saini kufa ndo simanzi isiwepo??? Kwani nyie vipi ....kuna wanajeshi ambao wamepitia saini za vifo lakini wamestaafu vizuri....kuingia saini ile sio kwamba ndo lazima ufe .ukifa ndo bahati mbaya lakin lazma serikali itake care about wanajeshi ndomana ikitokea wamekufa vitani matanga yanakuepo.....ila inaelekea naww mkuu una roho ya kikatili kuanza kuzungumzia saini alizoingia utadhan watu wametoa lamawa kumbe wamesikitishwa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha habari zako basi si kila jambo la kufanyia masihara yenu....
Rufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.


Ndukiiiii

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Rufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Wewe nafikiri unachembechembe za kigaidi...
 
Nyamaza acha kuropoka usiyoyajua, yaani watu makumi wafe hasa kibiti bado unadai ilikuwa siasa? kwa manufaa yapi sasa! hebu kuweni na breki kwenye ndimi zenu, askari polisi na raia wameuliwa wewe unapotosha wenzio?
Rufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.


Ndukiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom