Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,019
Nmefikiria huyo askari alikuwa ktk Hali gani View attachment 1001060
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbombo ngafu.ni hatari sana!
Magaidi sio watu wazuri Ndio maana nawakubali sana wanausalama wa TZ kuumaliza ugaidi uliokuwa unaanza taratibu kure kibiti na rufiji
mtu akiwa na chembechembe za Ugaidi sio wa kuonea huruma hata kidogo
Bora hata ya ww, m hapa najilaumu tuKwa hizi comments hata siiangalii
Mkuu ila huwezi jua alichofanyiwa kabla ya kufikia hatua ile,,,,,, lakin hata yale maneno ukimuangalia ni kama yaliandaliwa hivi ili mradi tu watimize nia yao na kuna uwezekano angesema tofauti hata video wasinge itoa...Kijeshi kitendo cha kwenda kinyume na maagizo ya Amiri Jeshi Mkuu ni kosa na ni usaliti kwa Taifa. Pamoja na kutekwa na pengine kuteswa sana, lakini hakupaswa kusema au kuonyesha kwamba nchi yake ilikosea kupeleka wanajeshi Somali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha bange wewe jamaa na akili zako za ufipaRufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️