20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
Hujui unalolisema.. Umekaa na kukisia.Rufiji, Kibiti na Amboni Tanga hakukuwa na magaidi ule ni mchezo wa siasa tu. Huo mchezo unaitwa tengeneza tatizo halafu litatue, gaidi siri zao kama jasusi mpaka washambulie ndio huwaona wakijisifu.
Ndukiiiii![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

