Na hapo hapo, mtumishi huyo anaendelea kuhudumiwa kwa kulipwa mshahara huku hajulikani alipo. Na barua kede kede anaandikiwa, ispokuwa hiyo burua moja tu ya ONYO: hatujui na hatutambui ulipo. Tutakufukuza kazi. Na kweli wanafukuza hata kabla ya kutoa nafasi ya barua ya onyo kujibiwa.
Nyinyi ni watumishi kutoka mbinguni!
Mkuu sijakuelewa fafanua kidogo.