Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Dhihirisha usemi wako kwa kuitaja sheria husika ya utumishi wa umma. Usifuate mkumbo tu.Sijui kwa utumishi wa Kibunge lakini kwa watumishi wengine wote wa Umma hata kama bosi wako atakuja kukusalimia hosipitalini na mkakesha naye kama hakuna barua rasmi ya taarifa za ugonjwa wako kutoka kwako, siku Ofisi wakiamua kuchukua hatua juu yako hutakuwa na jinsi.