Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Halafu utawasikia tumtangulize Mungu mbele, kumbe maana yake tutangulize uovu mbele, yameshindwa siasa sasa yanaua kama kuku, ni wakati wa watanzania kuchukua hatuaSerikali ya Awamu ya tano inawapa changamoto sana Watanzania...yaani mpaka inafika wakati unabaki unaduwaa nini kinaendelea
Kwa hatua hizi za bunge letu tukufu utaacha Je kuwatuhumu kwa yaliomkuta Tundu Lissu ?!. Kweli uchawi na mchawi hawajawahi kujifichaView attachment 1142167
Na barua nyingine hii hapa chini pia ilitolewa na bunge hilo hilo
View attachment 1142181
Nyningine hii kutoka kwa Spika mwenyewe akitoa taarifa za mbunge wake, Lissu kushambuliwa kwa risasi
View attachment 1142191
View attachment 1142199
Peleka mahakamani, uamuzi umekwisha toka, mtindo wa kutafuta huruma jukwaani hausaidii Kitu,View attachment 1142167
Na barua nyingine hii hapa chini pia ilitolewa na bunge hilo hilo
View attachment 1142181
Nyningine hii kutoka kwa Spika mwenyewe akitoa taarifa za mbunge wake, Lissu kushambuliwa kwa risasi
View attachment 1142191
View attachment 1142199
Mungu anayetajwa na Magufuli siyo yule ambaye dunia inamuabudu , nadhani yuko mungu wake mwingine , nalihurumia sana kanisa linalomruhusu kufanya ibada , maana limejitwisha dhambi kubwa mno .Halafu utawasikia tumtangulize Mungu mbele, kumbe maana yake tutangulize uovu mbele, yameshindwa siasa sasa yanaua kama kuku, ni wakati wa watanzania kuchukua hatua
Mahakamani hawana uwezo wa kutoboa labda wapate mbelekoHawa watu wanaendesha nchi kwa hila
Kwa barua hizi Lissu akienda mahakamani anawashinda kiulaini