General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,116
- 2,285
Wakubwa poleni na majukumu mbalimbali, hata wale mashabiki wezangu poleni pia.
Niende direct kwenye uhitaji wa msaada wangu. Nimekuwa mfuatiliaji na mtafutaji wa haya maisha yetu.
1. Nina shida ya kujua ni taaluma gani hapa Tanzania ukiamua kuweka nguvu kubwa itaweza kukulipa bila kujali uhitajio wa gharama gani kutumia kufikia kuwa expart wa hiyo taaluma. eg Graphic designer, Programing, and etc
2. Mentors wengi walio fanikiwa ntawapata wapi wa hizo taaluma ambazo zina waweka mjini.
3. What is the energy fuel can resolve this my problem.
4. And last what is the business correspond with this skills which can pay me full.
Niende direct kwenye uhitaji wa msaada wangu. Nimekuwa mfuatiliaji na mtafutaji wa haya maisha yetu.
1. Nina shida ya kujua ni taaluma gani hapa Tanzania ukiamua kuweka nguvu kubwa itaweza kukulipa bila kujali uhitajio wa gharama gani kutumia kufikia kuwa expart wa hiyo taaluma. eg Graphic designer, Programing, and etc
2. Mentors wengi walio fanikiwa ntawapata wapi wa hizo taaluma ambazo zina waweka mjini.
3. What is the energy fuel can resolve this my problem.
4. And last what is the business correspond with this skills which can pay me full.