I am a new member. I hope u ar al fine.
Hapa si mahala pake. Lakini tupo fresh tu. Vp unatumia sigara gani?
karibu,
ila moderator wa humu ni waonevu sana. Na kuna hao memba ambao majina yao yameandikwa kwa wino mwekundu na wa zambarao,
usijaribu kubishana nao hata kidogo. Wana veto power!
nishakutekenya haya sema yote
bado mtekenyo haujafika mahala pake...
Ukifika mbona nitasema tu?
bado mtekenyo haujafika mahala pake...
Ukifika mbona nitasema tu?
karibu,
ila moderator wa humu ni waonevu sana. Na kuna hao memba ambao majina yao yameandikwa kwa wino mwekundu na wa zambarao,
usijaribu kubishana nao hata kidogo. Wana veto power!
radhia unavuta sigara? Jibu swali, unavuta sigara gani? Sio lazima anaekupa huduma fulani na yeye awe mtumiaji.
feelings huna kabisa wewe
tekenyaneni kwa usalama
kwa mfano yupi?
nashukuru FB,Jibu swali, unavuta sigara gani? Sio lazima anaekupa huduma fulani na yeye awe mtumiaji.
hiyo ni generic reference,
since samaki mmoja akioza?
Thats unfair.