Na ili aamkiwe shikamoo mama nilazima atongozwe kwanza bila mtongozo hiyo mama haipatikan kirahisi hivowe ni mwanamke kwaio unategemea nini ?ni lazima iwe hivo kwa sababu ya uanamke wako wewe unataka uombwe namba ili uwe unaamkiwa shikamoo mama?
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Undugu unaanza chap baada ya kupeana namba!Unijue kwani mimi ndugu yako?
Me nikikaaga na bitchez kama nyie wa beyonce wanna be,huwa napiga kimya,nakula good music tu mwanzo mwishoInakera kweli mi niilikuwa nasafiri kutoka moshi kuja dar, nilikaa na kaka mmoja alinisumbua mpk niliona gari linapunguza mwendo ukikaa kimya anakuforce kuongea mby zaidi alikuwa ananuka mdomo.
Bahati nzuri basi lilikuwa halijajaa nikajihamisha taraatibu akanifata tena ananishika nilimropokea mropoko mmoja abiria wote wakanitolea machoo mwenyewe aliondoka akarudi kukaa kwenye siti yke...alikuwa km jambazi anatishaaa hatar
Ukiombwa namba jua watu wameshafika bei, Ukitoa namba jiandae kutoa kila cha kutolewaHii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Hi Sky naomba namba yako jamani.Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Ni vizuri pia utakuwa unajiongeza.Me nikikaaga na bitchez kama nyie wa beyonce wanna be,huwa napiga kimya,nakula good music tu mwanzo mwisho
Msijitetee bwana we, mara nyingi hiyo ndio huwa lengo lenu.Kuna vitu vingi vya kushirikishana kwenye maisha apart from kutongozana , tatizo wadada mmekariri kuwa tukiwaomba no za simu tunataka kuwatongoza tu .
imepenya,yaaani uwe na gari lexus halafu umuombe namba uone atatoa hadi ile ya akiba hapana chezea hawa watu ni kuwaona hivyo tu walivyo.ni pasua kichwa,hawasemi wanachokimaanishaKuomba namba si kosa .Maana ni mwanzo wa kufahamiana zaidi.Bali matumizi mabaya ya mawasiliano ndio makosa huanza hapo.Sema wanaomba namba kwako pengine hadhi zao dogo ndio maana wewe unaona kosa ila kwa watu wenye hadhi zao wakikuomba huwezi ona kosa.