captain 21
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 583
- 1,182
Mambo vipi wakuu! Ni kama wiki mbili sasa nimekua nikikutana na hii ishu kwenye mitandao ya kijamii hasa Facebook leo nimeona ngoja niwashirikishe na wadau wa JF. Vipi wakuu hii ishu ni kweli au ndio ukibofya link tu umekwishaa!!