kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
Kutokana na kitendo cha ubabaishaji wa kuwapatia pesa toka bodi(heslb) wanafunzi wa mwaka wa pili na continuing wengine Arusha,Wameazimia kufanya mgomo wa Pamoja ambao utaifikishia ujumbe serikali,katika mgomo huo,eneo la kukutana litabainishwa hapo baadae baada ya mipango kukamilika.HALI NI NGUMU,KUISHI CHUO MWEZI MZIMA SASA BILA PESA NI UKIUKAJI WA HAKI ZA BINADAMU.