Wanasema ukishakamilisha usajili afisa mikopo kutoka HESLB ni jukumu lake ku submit haraka majina ya wanachuo waliojisajili kwa ajili ya kuingiziwa fedha kwenye akaunti.
Ni ndani ya wiki hadi wiki mbili mzigo unakuwa tayari.
True, mimi ya binti hapa mpk kufikia leo sa6 mchn tulijua Btch2 hayumo mana msg ilikuwa ni ileile "..verIfied complete..wait for allocation process"
Ila by sa7 mchn leo..SIPA ikasoma