Heshima ya mwanamke wa sasa ipo wapi?

Heshima ya mwanamke wa sasa ipo wapi?

Zemanda

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2021
Posts
10,651
Reaction score
22,818
Miaka ya 1990 kurejea nyuma, wanaume tulikuzwa na familia zetu kuwaona wanawake kama viumbe wa kuwalinda na kuwajali sana.

Hii haikuwa Tanzania tu bali ulimwenguni. Ukitazama filamu,wanaume walikuwa wakisalimia wanawake wanawavulia kofia na kuinamisha kichwa kidogo na kuwaita majina ya heshima kama Mis fulani, madam fulani, au Ma'am.

Wanaume tulifunzwa kuwapa wanawake mauwa na zawadi kama ishara ya kusheherekea uwepo wao katika jamii.

Wanawake wa kipindi hicho,sauti zao zilikuwa ni za unyenyekevu sana na kauli zao zilikuwa ni za kujaza matumaini kama sio kufariji.

Hii hali haipo kwasasa. Wanaume wengi wanapokutana na wanawake kama sio kupata hisia za kuwabaka,kuwapiga au kutukana basi watasema jambo negative kwao?

Tumefikaje hapa? Na hili swali siwaulizi wanaume,nawauliza ninyi wanawake wa kisasa type ya akina Jadda ambao mnakwenda tofauti na haiba ya asili na kuwa madume jike kisha mkiulizwa kwann mnarudisha mpira kwetu wanaume kwamba tumewazingua,wapi hapo?

Jitihada za mwanaume siku zote ni kumfurahisha na kumpa amani mwanamke, jitihada ya mwanamke siku hizi ni kutengeneza mazingira ya kuharibu mahusiano kwa faida yake mwenyewe. Faraja yake ni kuona kaingia katika maisha ya mwanaume mwenye utulivu, kumsoma alichonacho na kukichukua na kumuacha amevurugikiwa.

Jambo hili limewafanya wanaume wa sasa kuwa na maumivu ya kufanana na kuona wanawake si rafiki bali adui anayejifanya rafiki na haukumkosea kwa lolote.

Tazama sasa hata huko mitandaoni mwanamke aandike tu ujumbe wa kusema Mwanaume anatakiwa kufanyia nini mwanamke utaona namna atatupiwa mawe na kupondwa kwasababu wanaume wamekwisha soma mchezo kuwa mwanamke huyu ni mlaghai na hapaswi kusikilizwa.

Nini kilitokea hadi wanawake ghafla m'mekuwa tatizo kwenye jamii iliyokuwa inawapenda,inawatunza,inawajali,inawalinda hadi leo mkibakwa wanaume badala ya kuhuzunika wanatoa kauli za kufarijika na majanga yanayowakuta?

Imagine miaka hii hata wezi wa kike nao wanapigwa hadi wanatoka manundu na damu wengine hata wanachomwa moto ati?

Hivi tukiendelea hivi watoto wetu wa kike huko mbeleni watalindwa kweli?

Kwanini ninyi wanawake wa sasa mnawasababishia madhara na kuwatengenezea sumu kizazi kijacho cga watoto wa kike na kujaza chuki watoto wa kiume wa sasa na wabadae sababu ya tamaa ba tabia zenu za hovyo.

Kwanini hamrekebiki?🤔
 
Kwanza kabisa ni jamii za wapi hizo ambazo wanaume walikuwa wanafanya mambo kwa ajili ya kuwafurahisha wanawake hebu acheni unafiki hakuna viumbe wabinafsi chini ya jua kama wanaume, hivi unasemea zile zile jamii ambazo zilifanya mwanamke aone ufahari kukeketwa wewe unaweza ukanipa faida ya moja kwa moja anayopata mwanamke (bila kumhusisha mwanaume) kwa sababu ya kukeketwa, au unasemea zile jamii ambazo wanawake ndio walihusika kwa asilimia kubwa kwenye kulima na kuvuna na bado kazi za nyumbani walilazimika kufanya wao sababu ya uvivu wa waume zao ambao kazi yao kubwa ilikuwa kumbato na kuzalisha matoto mengi, na kusubiri wake zao wauze mavuno kisha wao wachukue pesa wakalewe kwenye vilabu vya pombe za kienyeji na hili lipo hadi miaka ya leo kwa baadhi ya jamii hili nililishuhudia mwenyewe na nilisimuliwa na wenyeji nilipotembelea baadhi ya wilaya kikazi, siku zote huwa nasisitiza hakuna jambo ambalo mwanaume atafanya kwa mwanamke na lisiwe na manufaa kwa mwanaume mwenyewe hilo jambo halipo yani lolote wanalodai wanaume kuwa wanafanya kwa manufaa ya wanawake basi ukichunguza kwa makini utagundua lina maslahi kwa wanaume pia ila wanafanya lionekane kama lina maslahi kwa wanawake tu ili wanawake waamini na walikubali kirahisi
 
Hawa viumbe hawakupaswa kusomeshwa ukiangalia hiyo miaka hawakuwa na shule kama Leo yaani kwenye wanawake10 kama sio wote wamefika walau form 4. Tarbani wamelijua Hilo ndio maana hawawapi nafasi kabisa viumbe Hawa.

Wanawake waliosoma ndo vibopa wa mfumo dume ukiona hajasoma na anakoromea mwanaume ujue kaiga tu.
 
Kwanza kabisa ni jamii za wapi hizo ambazo wanaume walikuwa wanafanya mambo kwa ajili ya kuwafurahisha wanawake hebu acheni unafiki hakuna viumbe wabinafsi chini ya jua kama wanaume,
Wewe umezaliwa mwaka gani tuanzie hapo maana usije ukawa umezaliwa 2000 au 1998 ukaanza kuhisi una vigezo vya kujadili mambo ya kijamii ya kizazi cha 1990 kurudi nyuma. Hii ni kwa millennials sio sample yako unazaliwa wakati computer zinatumika tanesco.

hivi unasemea zile zile jamii ambazo zilifanya mwanamke aone ufahari kukeketwa wewe unaweza ukanipa faida ya moja kwa moja anayopata mwanamke (bila kumhusisha mwanaume) kwa sababu ya kukeketwa,
Kukeketwa ni utamaduni wa mfumo jike ambao ulikuwa unaojaribu kusimamia maamuzi kiume. Hakuna mwanaume ambae alisuggest mwanamke akatwe kisungura ili asiwe anasikia utamu kwenye mchezo pendwa ila ni wanawake bitter na ambao walikuwa na wivu kwa mabinti wadogo kuwazidi ufundi wa kuchukua wanaume pale wao wakishazaa na kuonekana wazee. Sasa sijui nani alikudanganya ni wanaume walitaka wanawake kukeketwa na wakati ngaliba wakeketaji huwa ni wanawake.
au unasemea zile jamii ambazo wanawake ndio walihusika kwa asilimia kubwa kwenye kulima na kuvuna na bado kazi za nyumbani walilazimika kufanya wao sababu ya uvivu wa waume zao ambao kazi yao kubwa ilikuwa kumbato na kuzalisha matoto mengi,
Unavyosema "Matoto mengi" maana yake unachukia uzazi yaani unaona mwanamke kuzaa ni laana na sio baraka.
Hayo ni majukumu ya mwanamke sasa ulitaka akae ndani kama jiwe asifanye chochote,mbona house girls wakija kwenye majumba yenu mnataka wawafanyie majukumu yote,apike,afue, apige deki,awasaidie kutazama mtoto, amlishe,am'bembeleze alale, huyo huyo amuangalie mumeo etc, ila hapa unakuja kusema as if ni vitu wanaume wanataka ila wewe ukiwa single mother utataka mtoto/binti wa mtu aje akufanyie. Nonsense kabisa.
na kusubiri wake zao wauze mavuno kisha wao wachukue pesa wakalewe kwenye vilabu vya pombe za kienyeji na hili lipo hadi miaka ya leo kwa baadhi ya jamii hili nililishuhudia mwenyewe na nilisimuliwa na wenyeji nilipotembelea baadhi ya wilaya kikazi,
Sasa ukisema hivi maana yake ni tabia ya kawaida , sasa nikuulize hizo takwimu zako ni za mwaka gani na ni wanaume wa ukanda gani,so umezunguka mikoa yote na wanaume wote wapo na hizo tabia ulizosema?

If that's the case then tukubaliane kuwa wanaume wote wapo hivyo and that should be accepted as a normal behavior if not, why unakiri uongo.
siku zote huwa nasisitiza hakuna jambo ambalo mwanaume atafanya kwa mwanamke na lisiwe na manufaa kwa mwanaume mwenyewe hilo jambo halipo yani lolote wanalodai wanaume kuwa wanafanya kwa manufaa ya wanawake basi ukichunguza kwa makini utagundua lina maslahi kwa wanaume pia ila wanafanya lionekane kama lina maslahi kwa wanawake tu ili wanawake waamini na walikubali kirahisi
So baba yako kukusomesha ni kwa maslahi yake binafsi,wewe si ni mwanamke pia?

Baba yako anamtesa mama yako, mama yako akilima baba yako anaiba mazao kwenda kuyauza ili akanywee pombe?

If that's not the case then usiongee kwa generalization maana hata mzee wako ni mwanaume, and hii inaonyesha ni namna gani upo ungrateful. Kama amekulea vizuri and you have the twisted mindset towards men it means hata yeye pia kimoyomoyo una mdharau na unaona hana maana.

You should be ashamed of yourself.
 
Hawa viumbe hawakupaswa kusomeshwa ukiangalia hiyo miaka hawakuwa na shule kama Leo yaani kwenye wanawake10 kama sio wote wamefika walau form 4. Tarbani wamelijua Hilo ndio maana hawawapi nafasi kabisa viumbe Hawa.

Wanawake waliosoma ndo vibopa wa mfumo dume ukiona hajasoma na anakoromea mwanaume ujue kaiga tu.
Kabisa. Na tunapolekea itakuja kuwa sheria kabisa kuwa kuwaelimisha wanawake ni kuiharibu jamii. Ona hawa wasasa huko mavyuoni kamekuwa utadhani madanguroni. Watoto wanaliwa na kuishi na wanaume kinyumba as if ni halali.

Akina Jadda hao, a very disrespectful breed.
 
Mmmmhmn kwahiyo wanaume wanaogopa wanawake tena, sasa mbona wanawake ndio wanasema wanaume ni hatari na kutwa wanajihami dhidi yao?
Kibao kimegeuka wanaume wanajihami dhidi ya wanawake!
 
Hawa viumbe hawakupaswa kusomeshwa ukiangalia hiyo miaka hawakuwa na shule kama Leo yaani kwenye wanawake10 kama sio wote wamefika walau form 4. Tarbani wamelijua Hilo ndio maana hawawapi nafasi kabisa viumbe Hawa.

Wanawake waliosoma ndo vibopa wa mfumo dume ukiona hajasoma na anakoromea mwanaume ujue kaiga tu.
Ni wapi huko
 
Kibao kimegeuka wanaume wanajihami dhidi ya wanawake!
Kwa mlivyo sasa lazima tujihami dhidi yenu coz ukimchukulia mwanamke kiumbe dhaifu utabaki na majuto hasa nyakati za uzee wako alafu utagundua ulichelewa kujua kama huyo iliye ishi naye alikuwa kiumbe cha kutisha alisubiri uishe nguvu ndo aanze kukujeruhi. Dunia imebadilika inapaswa wanaume wabadilishe mindset ya kuishi na mwanamke tuchukue tahadhali ( dunia haina huruma kwa mwanaume so inabidi ujilinde mwenyewe)🙌🏻
 
Shida ilianza pale mwanamke alipoanza kutafuta pesa kwa jasho na mwanaume akawa msaidizi....
Na tukumbuke kuna watu walisababisha hili kutokea,na kauli yao ilikuwa ni "kwann mwanamke akae ndani pekee yake kulea watoto na wanaume watoke pekee yao, mwanamke akiwezeshwa anaweza kufanya kama mwanaume".

Huu ulikuwa ni ubinafsi na kufikiria hapa tu bila kuangalia kesho itakuwaje.
 
Kibao kimegeuka wanaume wanajihami dhidi ya wanawake!
Sidhani. So mfano mtoto wako mdogo yule wa miaka 3 akawa anashika kitu cha hatari mfano wembe,kisu au umeme,ukimpigia kelele au kumkemea tafsiri yake ni kuwa una muogopa?🤔
 
Wewe umezaliwa mwaka gani tuanzie hapo maana usije ukawa umezaliwa 2000 au 1998 ukaanza kuhisi una vigezo vya kujadili mambo ya kijamii ya kizazi cha 1990 kurudi nyuma. Hii ni kwa millennials sio sample yako unazaliwa wakati computer zinatumika tanesco.


Kukeketwa ni utamaduni wa mfumo jike ambao ulikuwa unaojaribu kusimamia maamuzi kiume. Hakuna mwanaume ambae alisuggest mwanamke akatwe kisungura ili asiwe anasikia utamu kwenye mchezo pendwa ila ni wanawake bitter na ambao walikuwa na wivu kwa mabinti wadogo kuwazidi ufundi wa kuchukua wanaume pale wao wakishazaa na kuonekana wazee. Sasa sijui nani alikudanganya ni wanaume walitaka wanawake kukeketwa na wakati ngaliba wakeketaji huwa ni wanawake.
Hebu acha upumbavu wewe unataka kumpotosha nani nasisitiza wadanganye hao hao wanawake wasio na elimu halafu nani kakudanganya kwamba kujadili masuala ya miaka ya nyuma ni hadi uwe ulikuwepo si ndio maana kuna vitabu vya historia, hata ukisoma historia kuhusu hizo jamii zilizokuwa zinakeketa wanawake wenyewe walikiri kuwa walifanya hivyo ili kusudi wanawake wasiwasaliti waume zao kwa sababu ya kushindwa kuhisi raha ya hilo tendo, sababu wanaume walioa wake wengi kwahiyo walihofia wake zao kuwasaliti pale wanapokuwa kwa wake wengine au hata wanaposafiri hivyo hiyo iliwapa ufahari wanaume kujihakikishia kuwa hakuna wanaotembea na wake zao, maana mwanamke akishakeketwa anakosa hamu ya tendo anakuwa haenjoy kabisa hata anapofanya na mume wake ni mwanaume ndiye anaenjoy, tena kuna jamii nyingine huko somalia mume akisafiri mke alikuwa anashonwa kabisa kwenye sehemu za siri hadi mumewe atakaporudi na ole wake akute pamefumuliwa, halafu wewe unaongea ujinga kutoka kichwani mwako uwe unafuatilia historia za hizo jamii kabla ya kuropoka huu utopolo wako, ni wanaume ndio walifanya wanawake waone ufahari kukeketwa kwa kuwadanganya kuwa ina faida kwao na wakafanya ionekane kama mwanamke asiyekeketwa hafai kuolewa, ni kama ambavyo wanaume walifanya wanawake waone ufahari kudumu kwenye ndoa zenye manyanyaso wanaambiwa wavumilie hawatakiwi kurudi nyumbani kwao sababu wazazi walishakula mahari, na binti akishindwa ndoa aliyekuwa anatukanwa ni mama yake na kuonekana alishindwa kumlea vizuri mwanaye kwahiyo ilimlazimu mama awe mkali kwa binti na kuonekana kama wanawake ndio waliyapenda hayo maisha sasa kwa akili ya kawaida unadhani wanawake wangeweza kufanya hayo kwa hiyari yao na kufurahishwa nayo
Unavyosema "Matoto mengi" maana yake unachukia uzazi yaani unaona mwanamke kuzaa ni laana na sio baraka.
Hayo ni majukumu ya mwanamke sasa ulitaka akae ndani kama jiwe asifanye chochote,mbona house girls wakija kwenye majumba yenu mnataka wawafanyie majukumu yote,apike,afue, apige deki,awasaidie kutazama mtoto, amlishe,am'bembeleze alale, huyo huyo amuangalie mumeo etc, ila hapa unakuja kusema as if ni vitu wanaume wanataka ila wewe ukiwa single mother utataka mtoto/binti wa mtu aje akufanyie. Nonsense kabisa.
Kwahivyo mnaona ni sawa mwanamke afanye kazi za nyumbani pamoja na za shamba wakati huo mumewe anafanya nini halafu tatizo siyo kuzaa tatizo ni kulazimisha wanawake wazae idadi ya watoto wasiowataka halafu mbona unapenda kujitoa ufahamu wewe kwamba hujui kuwa zamani kuzaa watoto wengi ilikuwa ni fahari ya baba, hakuna mwanamke anayependa kuzaa matoto kumi huo ndio ukweli ndio maana wanaume walilazimisha kuoa wake wengi ili wapate watoto wengi zaidi ukiona mwanamke kamzalia mumewe watoto wengi ujue huyo anaogopa tu kuachika ila si kwamba anapenda wewe usijifanye unawajua sana wanawake kuliko wanavyojijua wenyewe, ndio maana hata kwenye dunia ya leo ambayo wanawake wana uhuru na sauti hatuoni tena hao wanawake wanaozaa watoto kumi siku hizi wengi wanazaa watoto wachache na wengine hawataki kabisa kuzaa ila cha ajabu wanaume wanaotaka watoto wengi bado wapo ndio maana tunaona wanazalisha tu wanawake hovyo bila ndoa
Sasa ukisema hivi maana yake ni tabia ya kawaida , sasa nikuulize hizo takwimu zako ni za mwaka gani na ni wanaume wa ukanda gani,so umezunguka mikoa yote na wanaume wote wapo na hizo tabia ulizosema?

If that's the case then tukubaliane kuwa wanaume wote wapo hivyo and that should be accepted as a normal behavior if not, why unakiri uongo.
Unajua wewe usipende kujitoa ufahamu kwani nani hapa kasema kwamba hizo tabia zilikuwa kwa wanaume wote mimi nimepinga wewe kusema kwamba wanaume wote wa zamani waliwajali wanawake ndio maana nikakuambia kuna jamii wanaume walikuwa wanawaachia wanawake majukumu yote au huko ndio kujali unakokusema, halafu kila jamii ilikuwa na tamaduni zake zilizowakandamiza wanawake katika namna tofauti tofauti jamii nyingine zilikuwa zinafanya hayo niliyoyasema na jamii nyingine zilikuwa zinafanya mengine ambayo sijayasema hapa, mimi nimeshawahi kuenda kijijini kwetu msibani tulienda kumzika nyanya yetu kuna muda tukawa tumejitenga kwa makundi kuna kundi tulikuwa tumekaa mabinti tu pembeni yetu kuna kundi walikuwa wamekaa bibi zetu, wakaona baadhi ya wanaume wanaenda kusomba kuni na kuchota maji kwa ajili ya kupikia tukasikia wanasema vijana wa siku hizi wanajitahidi kujituma na kuwasaidia wanawake, zamani kwenye misiba kama hivi unakuta wanawake ndio walikuwa wanahangaika kufanya kazi zote na kuhudumia wageni wote wanaokuja kuomboleza hadi watakapoanua matanga wanaume walikuwa wanakaa wanasubiri msosi tu, najua kwa akili zako fupi utakuja na ujinga wako wa kusema wanaume ndio walichimba makaburi na kubeba majeneza sasa unadhani hiyo ni kazi ya siku ngapi na inafanywa na watu wangapi mimi ninapoongea haya sikurupuki huwa nafuatilia sana kuhusu tamaduni za jamii mbalimbali, naelewa vizuri ni wapi tulipotoka na wapi tunapoelekea na naelewa kwanini wanawake wa zamani walikuwa vile walivyokuwa na wa sasa kwanini wako hivi walivyo ila wewe unaongea tu chochote kinachokujia kichwani mwako mradi tu na wewe uonekane umejaza server za jf
So baba yako kukusomesha ni kwa maslahi yake binafsi,wewe si ni mwanamke pia?

Baba yako anamtesa mama yako, mama yako akilima baba yako anaiba mazao kwenda kuyauza ili akanywee pombe?
Ofcourse tukirejea huko zamani wababa wengi walikuwa wanawafanyia mambo mabinti zao kwa maslahi ya hao wababa wenyewe yani wababa walikuwa tayari mabinti zao wafanye lolote kwa maslahi yao binafsi hao wababa, baba alikuwa tayari amuozeshe binti yake kwa lizee asilolipenda ili tu ale mahari ndio maana wababa wengi hawakuwasomesha mabinti zao sababu waliona kama ni hasara maana mwisho wa siku wataenda kuolewa tu, hawa wababa unaoona wanasomesha watoto wao ni matokeo ya jamii kuanza kuamka na kupinga mfumo dume japokuwa leo hii kuna wababa wanasomesha watoto wao ili waje wawasaidie uzeeni so hiyo nayo ni kwa maslahi yao pia kwahiyo tunarudi pale pale
If that's not the case then usiongee kwa generalization maana hata mzee wako ni mwanaume, and hii inaonyesha ni namna gani upo ungrateful. Kama amekulea vizuri and you have the twisted mindset towards men it means hata yeye pia kimoyomoyo una mdharau na unaona hana maana.

You should be ashamed of yourself.
Sasa kati ya mimi na wewe nani ambaye anaongea kwa generalization uzuri mimi katika kila hoja zangu mara nyingi huwa najumuisha maneno "baadhi ya" au "wengi wao", ila wewe kila hoja unayowasema wanawake lazima uandike kana kwamba unawasema wote as if ni wanawake wote wana tabia hizo unazozisema so ingekuwa vizuri kama ungetoa kwanza boriti lililoko jichoni kwako kabla hujatoa kibanzi kilichopo jichoni kwangu, you are the one who should be ashamed of yourself maana kwanza wengi wenu humu mmelelewa na hao hao single mothers kwa sababu ya kutelekezwa na baba zenu halafu leo hii mnajifanya ninyi ndio keyboard warriors kutukana single mothers wa wengine ilihali wa kwenu mnawapenda na mnawaheshimu
 
Kabisa. Na tunapolekea itakuja kuwa sheria kabisa kuwa kuwaelimisha wanawake ni kuiharibu jamii. Ona hawa wasasa huko mavyuoni kamekuwa utadhani madanguroni. Watoto wanaliwa na kuishi na wanaume kinyumba as if ni halali.

Akina Jadda hao, a very disrespectful breed.
Hivi wewe mzima kweli kwani hao wanaume wanaoishi na hao mabinti wameshikwa akili kiasi cha kushindwa kuwakataa hao wanawake kama wanaona siyo sawa, hebu tutoleeni unafiki wenu yani mnakuja kutupigia makelele kwa matokeo ya makosa ambayo hata ninyi mlishiriki, aise mimi nasema tuende hivi hivi ipo siku tu mtashika adabu yani hapa mbona bado hamjasema ninyi mkipigwa vizuri mtasema tu chanzo cha hao mabinti kuharibika ni nini kwa sasa rukenirukeni tu
 
Back
Top Bottom