Nafikiri majority ya watu wetu wa Afrika hawapendi miili yao,au walivyoumbwa.
Chukua kwa mfano wanawake wetu hapa BONGO.Wangapi wanavaa wigi?Kwa nini kila mtu asilizike na nywele zake?Niko embarassed na Speaker wa Bunge kuvaa mawigi really!
Mbali na hilo it seems wanawake wetu also hawariziki na ngozi zao,kujichubua wawe na light skinned!Wanaomjua Balozi Maajar,je hiyo ni ngozi yake halali????????
Wanaume ndio usiseme.Kuvaa dread na heleni.
Je unaweza kumwamini doctor/lawyer wako kama amevaa rasta au heleni?No way.
Nafikiri tu stick na utamaduni wetu,kutoiga Blacks wa USA ,wao wanahistory tofauti na sisi kabisa.
Chukua kwa mfano wanawake wetu hapa BONGO.Wangapi wanavaa wigi?Kwa nini kila mtu asilizike na nywele zake?Niko embarassed na Speaker wa Bunge kuvaa mawigi really!
Mbali na hilo it seems wanawake wetu also hawariziki na ngozi zao,kujichubua wawe na light skinned!Wanaomjua Balozi Maajar,je hiyo ni ngozi yake halali????????
Wanaume ndio usiseme.Kuvaa dread na heleni.
Je unaweza kumwamini doctor/lawyer wako kama amevaa rasta au heleni?No way.
Nafikiri tu stick na utamaduni wetu,kutoiga Blacks wa USA ,wao wanahistory tofauti na sisi kabisa.