Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Napenda kuwapa heshima ya hali ya juu wanawake woote popote walipo duniani no matter what..hawa ni mama,dada.shangazi,bibi zetu.Halipingiki mama zetu ni wavumilivu na wametutoa mbali wanahitaji heshima ya hali ya juu toka kwetu hasa wanaume.
Ukiona picha hii tafadhali kama mama yako yuko hai mpigie simu na kumtakia hali.
Ukiona picha hii tafadhali kama mama yako yuko hai mpigie simu na kumtakia hali.