Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,485 86,001 Jun 8, 2012 #3 mmmmhh ni kauli mbiu ya CCM hii, miaka hamsini hadi leo wanasema hayo hayo tu
Hute JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,537 6,458 Jun 8, 2012 #4 hahaha, ''FAST'' ''no matter how long it takes'',
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,125 16,189 Jun 8, 2012 #5 hili bango liko wapi? Nataka nikatoe hiyo FAST
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Jun 8, 2012 #6 Lafaa kuendea jangwani kesho hiyo ndiyo kauli mbiu ya ccm
Hute JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,537 6,458 Jun 8, 2012 #7 hiyo fast service unaweza isubiri hata miaka hamsini....watakuwa wanakwambia tu kwamba no matter how long it takes we are still fast, keep on waiting!
hiyo fast service unaweza isubiri hata miaka hamsini....watakuwa wanakwambia tu kwamba no matter how long it takes we are still fast, keep on waiting!
The Bleiz JF-Expert Member Jan 7, 2012 5,062 13,461 Jun 9, 2012 #9 Mambo ya subira yavuta heri hayo..
O othorong'ong'o Senior Member Jan 20, 2011 103 19 Jun 9, 2012 #10 'tuko mbioni' je hizo mbio ni za mita mia au cross country
Ambitious JF-Expert Member Dec 26, 2011 2,144 875 Jun 9, 2012 #11 Elli said: mmmmhh ni kauli mbiu ya CCM hii, miaka hamsini hadi leo wanasema hayo hayo tu Click to expand... Bullseye!!
Elli said: mmmmhh ni kauli mbiu ya CCM hii, miaka hamsini hadi leo wanasema hayo hayo tu Click to expand... Bullseye!!