JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
- Thread starter
- #81
Mmeanza mahesabu yn ya wizi eeeh, kura za lema hazitaibiwa km mnatakusikia harufu ya damu mtiririko kura za lema ziibiwe muone.
Lema atashindwa kihalali kabisa bila kuibiwa hata kura sifuri. Kama mnategemea kufanya vurugu kwa kisingizio cha ubunge wa lema jiandaeni ila mkae mkijua hamtaweza kuvuruga amani ya nchi.