JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
- Thread starter
- #161
haya,kwa logic yako....MAARIFA YA JAMII na CIVICS zitambeba lemma,,teh teh teh
Bora umecheka mwenyewe..! Kama ingekuwa inatumika CIVICS, ambapo watu wangepiga kura kwa Merits, lema asingepata hata nafasi ya kugombea. Bahati mbaya hata Maarifa ya Jamii anayitegea ya kupigiwa kura na vijana inakosa nguvu kwani hata Mollel anao Moran pia.