Kura ni mahesabu, ila maandamano yanahitaji nyomi ambayo hata hivyo siyo lazima iletoshe kwa ushindi.
Jamaa wabishi..! Lema ataisoma namba tu.
Anatafuta mbeleko ya lowasa, kamwe lowasa hawezi mtupa Monaban.
Kamuulize mtoto wa sokoine alitupwa au hakutupwa monduli?
Baada ya Uchaguzi urudi hapa we mleta Uzi, uthibitishe andiko lako!! Siyo ukimbie na kuutelekeza Uzi wako Kama wengine wanavyofanya!!!....
Baada ya Uchaguzi urudi hapa we mleta Uzi, uthibitishe andiko lako!! Siyo ukimbie na kuutelekeza Uzi wako Kama wengine wanavyofanya!!!....
Wewe suala la hesabu ni shida kwako hilo nalifahamu,
Una uelewa wa statistics? Kama ndiyo, ukirudia kusoma bandiko lako utajicheka mwenyewe.Matokeo ya uchaguzi huu wa Arusha ndio uchaguzi utakao fanya tathimini ya ule uchaguzi mkuu wa kati ya Lowassa na Magufuli. Uchaguzi huu utakuwa huru na haki.
Akishinda Monabani basi tutakubaliana na ushindi aliopata Magufuli, Na akienda kushinda Lema basi kile walichosema na kudai wakina Lowassa walishinda uchaguzi kwa 62% itakuwa ni ukweli.
Huu ni uchaguzi wenye nguvu na wenye kuleta hisia zaidi. Nina uhakika hakutakuwa na uonevo ili tupate picha halisi kati ya CCM na UKAWA ni yupi ni chaguo la Watanzania.
Hatuwezi kuwapa UPINZANI Jimbo letu. i.e (Arusha Chama Tawala ni CHADEMA)
Kwani kura zinapigwa na madiwani?
Semea nafsi yako.
Maana utaratibu ni One man, One vote.
Halmashauri ya jiji la Arusha linatekeleza Ilani ya CHADEMA 2015-2020Ndio maana lema anatafuta kick ya vurugu lakini polisi wameshamstukia