Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

Watu wa Arusha ni wacha MUNGU, nguvu za kishirikana wanazotumia CCM hazitafanikiwa kamwe!

Pia usitegemee LEMA "kushindwa" Arusha, halafu jiji likabaki salama!
 
Mimi ni mpiga kura yaani lema anapita kwa kishindo na hii ni kuwazirishia arusha akuna wapuuzi na mipango yenu nyinyi magamba arusha kitanuka yaani ss zaidi hata hilo jeshi la polisi.. Na usiongeleee ushabiki mm ni mpiga kura yaani hapa arusha watu arobain ccmm ni wawili tu.
 
Ahahahahhaah chuga yetu sis ama dar chugaaaa? Hapa mpaka mwisho wa tz ni chadema moja
Tuache kuchagua kishabiki, tunahitaji Mbunge wa kufanya kazi na Magufuli, siyo Mbunge wa kutuongoza kufanya maandamano.
 
Ndio maana lema anatafuta kick ya vurugu lakini polisi wameshamstukia

Muulizeni Davis Mosha au Namelock Sokoine vile tunawafanya pande hizi.
Ni rahisi kwa twiga kupenya kwenye tundu la sindano kuliko CCM kushinda kiti cha ubunge arusha mjini.
 
Mimi ni mpiga kura yaani lema anapita kwa kishindi na hii ni kuwazirishia arusha akuna wapuuzi na mipango yenu nyinyi magamba arusha kitanuka yaani ss zaidi hata hilo jeshi la polisi.. Na usiongeleee ushabiki mm ni mpiga kura yaani hapa arusha watu arobain ccm ni wawili tu.

Kuchagua Lema ni kujikomoa, tunataka viwanda vijana wapate ajira. Monaban ameshaonesha hill analiweza. Lema hata mashine ya kukamua juice hana, atatuongoza kwenda wapi kama siyo kusaga lami?
 
Muulizeni Davis Mosha au Namelock Sokoine vile tunawafanya pande hizi.
Ni rahisi kwa twiga kupenya kwenye tundu la sindano kuliko CCM kushinda kiti cha ubunge arusha mjini.
Ule ulikuwa upepo, sasa tujiulize kama bado tunahitaji kuchagua upepo au la!
 
Monaban na ccm yake wakifikisha kura 1000 ataeleza amezipata wapi
Tutamshinda Monobang kwa zaidi ya kura laki na sabini ili kuweka rekodi mpya
 
Watu wa Arusha ni wacha MUNGU, nguvu za kishirikana wanazotumia CCM hazitafanikiwa kamwe!

Pia usitegemee LEMA "kushindwa" Arusha, halafu jiji likabaki salama!

Soma huo msatari wa mwisho,halafu jiulize huyo 'mungu' gani umemtaja mstari wa kwanza.
 
Muulizeni Davis Mosha au Namelock Sokoine vile tunawafanya pande hizi.
Ni rahisi kwa twiga kupenya kwenye tundu la sindano kuliko CCM kushinda kiti cha ubunge arusha mjini.

Hapa chuga hatuchezagi sisi hatutaki kuona kijani hapa hata tukiwekewa kijani na jiwe tutapigia jiwe
 
Monaban na ccm yake wakifikisha kura 1000 ataeleza amezipata wapi
Tutamshinda Monobang kwa zaidi ya kura laki na sabini ili kuweka rekodi mpya

kamanda nanyaro nawatakia maandalizi mema ya uchaguzi nitakuja Arusha kumpigia kura Lema
 
Monaban na ccm yake wakifikisha kura 1000 ataeleza amezipata wapi
Tutamshinda Monobang kwa zaidi ya kura laki na sabini ili kuweka rekodi mpya

Hizo porojo za kijiweni? Toa hoja kwa nini lema apate ubunge tena?
 
kamanda nanyaro nawatakia maandalizi mema ya uchaguzi nitakuja Arusha kumpigia kura Lema

Nilikuwa siamini maneno kuwa fujo za Arusha mjini ni imported, hii kauli yako inanidhirishia. Watu wamekuwa wakijiuliza iweje maandamano Arusha na siyo Hai au moshi?
 
Hapa chuga hatuchezagi sisi hatutaki kuona kijani hapa hata tukiwekewa kijani na jiwe tutapigia jiwe

Elimu,elimu, elimu. Wewe itabidi tukuanzishie Gumbaru maana kwa umri kwako huwezi rudi kwenye mfumo rasmi.
 
Nilikuwa siamini maneno kuwa fujo za Arusha mjini ni imported, hii kauli yako inanidhirishia. Watu wamekuwa wakijiuliza iweje maandamano Arusha na siyo Hai au moshi?
Nami nakuuliza, kwanini unatamani iwe Hai au Moshi isiwe Arusha?!
 
Acha kujidanganya, usidhani mnaweza kumpitisha mtu wenu kama mlivyompitisha MAGUFULI hapa ARUSHA,

Lowasa alishindwa siku alipobadili kauli. Awali alituambia kazi ya kulinda kura za urais tumuachie, mwishoni akadai tumlindie pia. Wenye akili tukatambua kumbe mbabaishaji, tukampiga chini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom