Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

Ni sawa na kutafuta bikira kwenye wodi ya wazazi....

Wodi ya Wazazi ndo inabikira za uhakika. Watoto wote wa like waliozaliwa punde wote ni mabikira 100%. Basi humo wodini kuna manesi na madaktari wa kike ambao ukiwakagua huwezi kisa. Finally, ndugu wa mama aliyejifungua wanaokuja kumtazama. Umeelewa?
 
Nyie maccm mnapenda namba hesabu hamjui.

For ur information, hesabu za chadema kuwa mshindi zilianzia kwenye bvr.

Arusha watu walioandikishwa walikuwa 338,000. Wakati Lowassa anatafuta wadhamini ndani ya chama, wadhamini waliojiandikisha na bvr na ambao ni wanachama wa chadema 269,700 walimdhamini. Hao ni wa jimbo la Arusha mjini tu.
Kwa maana hiyo wapiga kura wa ccm hawazidi 70,000
Hao 70,000 ni ndo Mimi nimewataja awali kama kura za Magufuli (65,000). Waliosalia ambao ni wale waliomdhamini lowasa wakati wa Safari ya Matumaini. Na baadhi yao walimdhamini pia Safari ya Uhakika. Kwa vile lowasa ameshaanza safari ya Monduli isiyohitaji wadhamini, Mollel atarudisha wale alimtafutia lowasa wakati wa safari ya matumaini. Kama hiyo ikitokea, Lema kifo cha mende.
 
kwa arusha ccm mnapoteza muda. mbaya zaidi mumeiba kura za lowasaa...

Huyo lowasa angekuwa rais na wabunge 34? Kama kapigwa ubunge na udiwani ni ngumu kwa mtu makini kuamini hivi vichekesho vya kuibiwa kura.
 
Ukabila ndiyo sera zenu maccm... endeleeni kuhubiri matabaka ipo siku
Eti ni kweli mlipiga Kampeni kuwa Mosha wa Moshi mjini hakuoa mchaga hivyo hastahili kuchaguliwa? Kama ni kweli kuwa hiyo ndiyo formula ya uchagani, ni wepi wakabila?
 
Kwa hiyo Arusha vurugu inaanzishwaga na Lema?

Kwa mtu makini wa Arusha mjini hilo analitambua fika. Jimbo la Arusha mjini lina changamoto nyingi ambao zinaizidi uwezo akili ya lema. Ili kuficha aibu yake anamua kuwa notorious. Mbona kwa Nassari hakuna vurugu ilhali watu ni wale wale?
 
wewe Arusha ni jiji la wasomi wenye akili wanajua mabadiliko ni maendeleo na majaribio ni sayansi pia ni welevu sana wanajua safi na chafu, hawawezi tena rudi nyuma sisiem kushinda arusha ni sawa na jk kurudia Urais
Nami Niko Arusha, miaka mitano ya dhiki chini ya Lema..! Hakika hatuwezi rudia Makosa.
 
Uchaguzi ni karata wengine wamechoma vichinjio vyao baada Lowassa kuukosa urais na wengine hawakupiga kura sasa watajitokeza je namba ni ileile?

Wenye akili za kuchoma ni wafuasi wa chadema, ikiwa walichoma kweli wao kura zao ndo zitapungua.
 
Wakati unaandika huu uzi nahsi ulkua unajcheka mwenyewe.

Huu Uzi zijaandika kujifurahisha au kumfurahisha yeyote, nimeuandika baada ya utafiti wa migawanyiko inayojiunda ndani ya wafuasi wa chadema ukilinganisha na uimara wa wanachama wa CCM.
 
Kwa mtu makini wa Arusha mjini hilo analitambua fika. Jimbo la Arusha mjini lina changamoto nyingi ambao zinaizidi uwezo akili ya lema. Ili kuficha aibu yake anamua kuwa notorious. Mbona kwa Nassari hakuna vurugu ilhali watu ni wale wale?

Kwa hiyo Lema akili ndogo?
 
Eti ni kweli mlipiga Kampeni kuwa Mosha wa Moshi mjini hakuoa mchaga hivyo hastahili kuchaguliwa? Kama ni kweli kuwa hiyo ndiyo formula ya uchagani, ni wepi wakabila?


Jaffar Michael ni siyo mchaga lakini ni Mbunge wa Moshi mjini kupitia CHADEMA. Mosha alishafafanua kuwa CCM ni wanafiki na anaachana na siasa
 
haya,kwa logic yako....MAARIFA YA JAMII na CIVICS zitambeba lemma,,teh teh teh
 
Eti ni kweli mlipiga Kampeni kuwa Mosha wa Moshi mjini hakuoa mchaga hivyo hastahili kuchaguliwa? Kama ni kweli kuwa hiyo ndiyo formula ya uchagani, ni wepi wakabila?
Vipi jaffar Michael ni mchaga?
 
Lowasa ameachana na bashe monabani ndio nani,muulize namelok

Bashe mwajiriwa, Monaban ni business partner. Akiwa Monduli alidai Namelock alikaidi ushauri, akiwa Arusha mjini, hakuongea lolote dhidi ya Monaban. Wenye akili tukajua, zimwi likujualo.
 
Bashe mwajiriwa, Monaban ni business partner. Akiwa Monduli alidai Namelock alikaidi ushauri, akiwa Arusha mjini, hakuongea lolote dhidi ya Monaban. Wenye akili tukajua, zimwi likujualo.
Utasubiri sana lowasa ampigie chapuo huyo monaban,lowasa au mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom