Heri ya Siku ya Kuzaliwa Rais Samia

Dkt. Gwajima D

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
543
3,576
Mhe. Rais, naungana na Wataalamu na Makundi yote ya Kijamii chini ya Wizara hii ya Jamii kukutakia Heri ya Siku ya Kuzaliwa. Tunakutakia Afya njema na Mafanikio tele katika utumishi wako kwa Taifa la Tanzania.

Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe daima.🙏🏾

IMG-20240127-WA0017.jpg
 
Mhe Rais, naungana na Wataalamu na Makundi yote ya Kijamii chini ya Wizara hii ya Jamii kukutakia Heri ya Siku ya Kuzaliwa. Tunakutakia Afya njema na Mafanikio tele katika utumishi wako kwa Taifa la Tanzania. Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe daima View attachment 2884276

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Happy birthday 🎉 madame President Dr Samia Suluhu Hassan 🌹

God bless the works of Your hands for Tanzanians..
 
Nikiwa Zanzbar, Mkoa wa Unguja Kaskazini, Kijiji cha Donge Muwanda, nikipanda mti ishara ya "27 ya Kijani" ambayo ni Kampeni inayoenda sambamba na Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa kwa Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan 27 Januari ya kila Mwaka.

Tupande Miti ndugu zangu, bila mazingira mazuri hakuna maisha.


Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa Zanzbar, Mkoa wa Unguja Kaskazini, Kijiji cha Donge Muwanda, nikipanda mti ishara ya "27 ya Kijani" ambayo ni Kampeni inayoenda sambamba na Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa kwa Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan 27 Januari ya kila Mwaka.

Tupande Miti ndugu zangu, bila mazingira mazuri hakuna maisha. View attachment 2884437

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hongera Sana Mh Kwa kazi iliyotukuka
 
Gombea u Rais Waziri, Dr. Gwajima, Matumaini yetu kwa kweli yanafifia, kwa huu uongozi, we tried to support, ila tumefika mwisho, hasa wanaotajwa kwa report ya CAG, na Umeme.

  • Hakuna ajira kwa vijana.
  • Wamejiajiri, hakuna umeme.
  • Hakuna umeme, lazima walipe kodi.

Haya mambo yanaumiza sana vijana kwa kweli, na haya mambo ni mabaya hasa:

  • Report ya CAG inaposomwa.
  • Wanaiba, bado wapo oficin.
  • Watumishi ni matajiri wa kutupa.

Tumaini Moja tu kwa wananchi:

Mungu ni wetu sote.

  • Heri ya kuzaliwa kwa Mama.
  • Pongezi kwa kazi njema.
 
Back
Top Bottom