Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 1,706
- 8,686
Mhe. Rais, naungana na Wataalamu na Makundi yote ya Kijamii chini ya Wizara hii ya Jamii kukutakia Heri ya Siku ya Kuzaliwa. Tunakutakia Afya njema na Mafanikio tele katika utumishi wako kwa Taifa la Tanzania.
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe daima.🙏🏾
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe daima.🙏🏾