Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Happy bday to her,ila ndio hivyo tarura imetususa wakazi wa wilaya ubungo hasa jimbo la kibamba,miundo mbinu ya barabara ipo ovyo ovyo
Naunga mkono hoja.Katika kumtakia hii Heri, Akurudishe Wizara ya Afya !!.
Mambo yanazidi kuharibika.
Happy birthday mama yetuMhe Rais, naungana na Wataalamu na Makundi yote ya Kijamii chini ya Wizara hii ya Jamii kukutakia Heri ya Siku ya Kuzaliwa. Tunakutakia Afya njema na Mafanikio tele katika utumishi wako kwa Taifa la Tanzania.
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe daima 🙏🏾
View attachment 2884276
Usisahau kumuandikia kuhusu lile swala la sisi mashangazi tunaopenda mizagamuo!!Mh Waziri nna jambo muhimu lipo chini ya wizara yako, nitakuandikia PM.
Au km inawezekana naomba mawasiliano yako tushare.
Ahsante Sana Mheshimiwa endelea kutuelimishaNikiwa Zanzbar, Mkoa wa Unguja Kaskazini, Kijiji cha Donge Muwanda, nikipanda mti ishara ya "27 ya Kijani" ambayo ni Kampeni inayoenda sambamba na Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa kwa Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan 27 Januari ya kila Mwaka.
Tupande Miti ndugu zangu, bila mazingira mazuri hakuna maisha.View attachment 2884437
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Nakushukuru saanaa! Tupo pamoja!Hbr za asubuhi, tupande Miti Ndugu yangu tutunze mazingirashukrani. Hii ndiyo like kubwa kabisa
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Ujumbe murua.Hbr za asubuhi, tupande Miti Ndugu yangu tutunze mazingirashukrani. Hii ndiyo like kubwa kabisa
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Kheri ya Kumbukizi ya Raisi wa Nchi hakika tumefurahiishwa saanaaa kuona Meli iliyobeba Shehena ya #SUKARI imetia nang'a Bandari tulimisi chai maziwa saanaaa...+1🎂🎂🎂Mhe. Rais, naungana na Wataalamu na Makundi yote ya Kijamii chini ya Wizara hii ya Jamii kukutakia Heri ya Siku ya Kuzaliwa. Tunakutakia Afya njema na Mafanikio tele katika utumishi wako kwa Taifa la Tanzania.
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe daima.🙏🏾
View attachment 2884276
Ame-like BICHWA KOMWE - kwa niaba ya mh. waziri.Mkuu (Mheshimiwa),salaaam! Mi naomba 'LIKE' yako tu! Kwenye salamu yangu hii!
, mimi na Waziri wa Wizara Pacha ya SMZ Mhe Riziki Pembe (Mb), tuliungana na Wanawake Wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi kutoka mikoa yote ya JMT
ambapo, tulienda kutoa zawadi kwa Wagonjwa waliolazwa Hospitali ya Kivunge, iliyopo Unguja Kaskazini. Kwenye picha tukiwa na Wajumbe wa Jukwaa hilo.
Baada ya zoezi la '27 ya Kijani' la kupanda miti siku hii ya Kumbukizi ya Kuzaliwa kwa Rais wa JMT, mimi na Waziri wa Wizara Pacha ya SMZ Mhe Riziki Pembe (Mb), tuliungana na Wanawake Wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi kutoka mikoa yote ya JMT
ambapo, tulienda kutoa zawadi kwa Wagonjwa waliolazwa Hospitali ya Kivunge, iliyopo Unguja Kaskazini. Kwenye picha tukiwa na Wajumbe wa Jukwaa hilo.
Kwa upande wa Tanzania Bara, Maadhimisho yanaendelea kwenye Makao ya Watoto Kikombo. Picha baadae. View attachment 2884539
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Lina historia; wajumbe wake ni Wanawake wanaojishughulisha na shughuli za maendeleo ya kiuchumi kuanzia ngazi ya Kijiji/Mtaa ambapo huunda forums zenye viongozi wao kuanzia huko ngazi ya chini na hupanda hadi ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa.Mheshimiwa, hili Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi liko chini ya Wizara yako?
Linapatikana vipi huko mitaani?
Kwa kuongezea, uongozi wa Jukwaa hili la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi unajitegemea kupitia viongozi wa machaguo ya wajumbe ila, wizara ya Jamii inafanya utaratibu wa kisekta Ili wanawake wa Majukwaa haya waweze kuzijua fursa za wizara zote za kisekta na kuzifikia. Ahsante.Mheshimiwa, hili Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi liko chini ya Wizara yako?
Linapatikana vipi huko mitaani?