Taasisi ya Mifupa-MOI
Member
- Apr 15, 2025
- 91
- 174
Inashangaza mtu ambaye alikuwa anaonekana smart kauza jina la nchi yakeMapinduzi ya Zanzibar, ila 9 Decemba eti uhuru wa Tanzania Bara.Nini ngumu kusema Uhuru wa Tanganyika. Nyerere kweli alikuwa mbinafsi. Yote haya kisa awe Rais wa JMT.
Tanganyika aliona ni Jina la [Wakoloni] na alikua halitaki ndio maana akatengeneza Tanzania Bara, huo ulikua mtazamo tu mfano Karume aliwaambia viongozi wa Simba kabla ya kuitwa Simba ilikua inaitwa Sunderland akawaambia hilo ni jina la kikoloni kwanini isiitwe Simba jina la Africa ndio timu ikabadirishwa jina ikaitwa Simba lakini huyo huyo Karume alikubari vipengele vyote vya Nyerere isipokua vipengele kadhaa kwanza jina la Zanzibar lisibadirishwe liwe vile vile pili Zanzibar iwe Nchi huru yenye katiba yake na rais wake tatu bank ya Zanzibar ile [PBZ] haiusiani na masuala ya Muungano ila Bank KUU ya Tanganyika [BOT] inahusiana na Masuala ya Muungano, Nyerere alikua anakitaka Kisiwa kimkakati akaingia [KING] akachonga mchongo Karume atie saini [aiuze] Zanzibar kwa Tanganyika Karume alipoletewa makarabrasha ya kusaini yenye Kingereza tupu hakua anajua kusoma wala kuandika Kingereza isipokua Mwanasheria wake tu ndio aliekua anajua na alipotewa asaini Mwanasheria wake hakuwepo kwa hio alipoletewa na kuambiwa saini hapa na hapa na hapa akawa anasaini tu bila kusoma na kuelewa anachosaini ni kitu gani, mchezo ukaishia hapo Kisiwa kikawa kimenunuliwa hivyo yaanNini ngumu kusema Uhuru wa Tanganyika. Nyerere kweli alikuwa mbinafsi. Yote haya kisa awe Rais wa JMT.
Kisiwa kimenuliliwa how?Zanzibar ilibaki Zanzibar. Tanganyika ndo ilinunuliwa.Tanganyika aliona ni Jina la [Wakoloni] na alikua halitaki ndio maana akatengeneza Tanzania Bara, huo ulikua mtazamo tu mfano Karume aliwaambia viongozi wa Simba kabla ya kuitwa Simba ilikua inaitwa Sunderland akawaambia hilo ni jina la kikoloni kwanini isiitwe Simba jina la Africa ndio timu ikabadirishwa jina ikaitwa Simba lakini huyo huyo Karume alikubari vipengele vyote vya Nyerere isipokua vipengele kadhaa kwanza jina la Zanzibar lisibadirishwe liwe vile vile pili Zanzibar iwe Nchi huru yenye katiba yake na rais wake tatu bank ya Zanzibar ile [PBZ] haiusiani na masuala ya Muungano ila Bank KUU ya Tanganyika [BOT] inahusiana na Masuala ya Muungano, Nyerere alikua anakitaka Kisiwa kimkakati akaingia [KING] akachonga mchongo Karume atie saini [aiuze] Zanzibar kwa Tanganyika Karume alipoletewa makarabrasha ya kusaini yenye Kingereza tupu hakua anajua kusoma wala kuandika Kingereza isipokua Mwanasheria wake tu ndio aliekua anajua na alipotewa asaini Mwanasheria wake hakuwepo kwa hio alipoletewa na kuambiwa saini hapa na hapa na hapa akawa anasaini tu bila kusoma na kuelewa anachosaini ni kitu gani, mchezo ukaishia hapo Kisiwa kikawa kimenunuliwa hivyo yaan
Hahaha kuelewa hapo jicho lako moja inabidi liwe linaona makengeza na jicho lingine liwe linaona sawasawa..Kisiwa kimenuliliwa how?Zanzibar ilibaki Zanzibar. Tanganyika ndo ilinunuliwa.
Kwa yaliyopo sasa,Tanganyika ndo ilitiwa mfukoni. Anaecheka mwishoni ndo kacheka sana.Hahaha kuelewa hapo jicho lako moja inabidi liwe linaona makengeza na jicho lingine liwe linaona sawasawa..