Kamanda anayekwepa kukamatwa na polisi lakini anawaamrisha kuruta wake walete chokochoko dhidi ya polisi afu wakamatwe ili aende mahakamani kuonyesha unafiki. Kikubwa zaidi ni kutimiza maslahi yao binafsi kupitia Jukwaa la Siasa.Kamandaaaaaaa!Hahahahahaaa