Here's why the Navy didn't shoot down the Russian fighter jets that buzzed by a US destroyer

Here's why the Navy didn't shoot down the Russian fighter jets that buzzed by a US destroyer

mkuu umeongelea swala lalibya ndo maana nkakwambia kwa swala hilo lilipelekwa mbele ya UNSC, na pale kula moja tu ya NO ya russia ingezuia resolution unafikiri kwann russia a china hawakupinga???
Hebu nipe trusted source kuhusu UNSC kupitisha No Fly Zone huko Libya. Na je UNSC waliiappoint NATO kuimplement hio decision?
 
Kuhusu libya,Russia alidanganywa kuwa wanaweka no fly zone sio vita,russia alipokauka wakaanza kuipiga libya,russia anashangaa wanamwambia no fly zone haiwezi kuwa effective mpaka waharibu air defence ya libya,command centre na military instlation zote.
Lakini hawakuishia hapo kwani waliendelea kuwapa silaha waasi,yule balozi wa marekani alieko libya ndo alikuwa anasimamia show,no wonder baadae aliuawa.
Lilipokuja ishu ya syria,Russia aligoma kuingizwa mjini kama ilivyokua kwa libya
 
ATTENTION: SIR CHIEF

Nakushauri ujaribu kutumia lugha ya kistaarabu, eleza point zako kama unazo utaeleweka huna haja ya ku force maoni yako down ya throats za watu wengine.

Nataka nikukumbushe hapa kwa nia njema tu, kwamba some members wanao contribute katika uzi huu wanatoka different backgrounds kuanzia elimu zao na ulewa wao katika nyanja husika - ndio maana unaona wanajua jinsi yaku keep their cool na kujieleza vizuri tu bila ya kutumbukiza mambo ya mipasho ya taarabu kwenye masuala ya sayansi na tekinolojia - huna sababu ya kuanza ku attack wenzako sometimes resorting to name calling - why? Uchambuzi wao wa masuala ya kijeshi /sayansi na teknolojia una tofauti na maoni ya kwako!!
 
Mbona mnaangalia upande mmoja?. Kuwa marekani angedungua.unajua hasara zake?.Russia angeamurisha kutumia silaha kali zaidi kuizamisha meli?,na tayar unaambiwa marekani alisogelea wenzio ambao ni hatari kiusalama
 
Bas nilivoona NAVY nkajua mashabik wa RIHANNA duuuj!!
 
hizo system zilizokuwa katika meli ndo mrusi alikuwa anachukua picha na kufanya electronic warfare.
Ni ajabu sana mmarekani kwanini aliogopa kuzidungua,maana zimeondoka na itelligence data hapo,
tukio limefanywa kwa siku mbili na wamarekani hawajareact,mpaka hata shughuli zao walisitisha,
sijui wanaogopa nini,wanazidiwa hata wale jamaa wa uturuki
Hahaha daah we jamaa kwa story za kijeshi za uongo uongo hua nakuaminia kishenzi, ngoja Kuna mwenzake mmoja hivi nae atakuja hapa sasa hivi . Full uongo uongo tu
 
kama warusi wanafanya hivyo ili waandikwe sijui,unadhani kwanini media za mrusi hazijaandika hiyo ishu?,
wajua kwamba pentagon ndo wamei break hii habari na hadi kutoa picha?.
Halafu ukienda website ya US NAVY wanajaribu kujitetea kwanini hawakuishoot ile ndege.

Kama wanajikosha tu,usikute mitambo ya humo melini ilikua jammed kama kipindi kile
Ndio maana nakwambia nyir putinic hamna cha maana zaid ya kutafta cheap popularity kwenye putinic media...Kama putinic media hawajaandika ni wapi ulipopata habari kwamba walikuwa wakipiga na picha na kuwa kuna helkopta na ndege nyingine zilikuwa zina protect ivyo vi ndge vibovu vilivyokuwa vinachukua izo unazosema picha...Alafu pia uwe unaandika vitu una uhakika navyo sio kusema "usikute" guesing.....
Afu pia ni lazima U.S navy waandike what happened ili ulimwengu ujue how putin is idiot....
Yaan kwa akili zako ulitaka russian media ndio ziandike kwamba wali buzz Manowari ya U.S wakat ni kosa kumchokoza mtu kweny international waters?....
Yaan nyie watu sijui mna akili gani bana...
 
Tabia hii ya Russia imekua common sasa, si mara ya kwanza ni very unprofessional, just imagine kwa ukaribu ule viongozi wa ile destroyer ya marekani wangekua na akili kama za warusi Waka shoot down ile fighter jet ingekuaje?

Maana ile meli ilikua armed na makombora na systems mbali mbali, ni busara tu ya captain wa meli kuwaaambia wenzie waachane na hiyo ndege maana haikua imebeba makombora kwenye mabawa yake hivyo waipotezee tu

Sasa ndege ingeangushwa ndipo ungesikia kelele za Russia, Ingawa urusi imekanusha Madai ya marekani lakini hii ni kawaida ya urusi kufanya hivyo Na kukanusha,
Hizo ni old tricks

Comrade, haya mataifa makubwa tuyaache tu. Hivi wewe unaona ni sahihi kwa USA kusafiri umbali wote ule kuja karibu na Russia na kufanya mazoezi ya kivita? Suppose Russia nayo ikipeleka meli zake kule Mexico karibu na USA na kuanza kufanya doria unadhani USA itafanya nini?
 
watu hilo swali hawajiulizi,
aliyebaki na mentality za cold war ni marekani,ndo maana anazidi kuweka majeshi yake karibu na Mpaka wa russia.

Wakati vita baridi inaisha walikubaliana kuvunja Nato na Warsaw pact,
wakati warusi walivunja ,marekani na wenzake hawakuvunja NATO ;badala yake wakaanza kuzishawishi nchi zilizokuwa kambi ya mrusi kujiunga na NATO,

Kwa mtu mwenye akili lazima aone kuwa marekani bado walikuwa na nia ya kuivunjavunja russia,
unategemea Russia atakaa tu kama mjinga asiriact kweli
Kila bahari ina internationl waters na ni ruhusa kwa nchi yyte kufanya mazoezi humu bila bugudhi...Ndio maana hata sub marine za russia zinaonekanaga mara nyingi kwenye bahari ya pasific na atlantic upande wa marekani but kwenye international waters tuu,.wakijaribu kusogea karibi kama walivyofanya England ndio walikamatwa kama ulivyoona....
Kama russia ana beef la cold war basi afanye declaration rasmi kwamba we are going to resume cold war kama ana guts za kupambana na marekani..Afu utaona watu wanavyocheza michezo...
Putin is just a provocative leader na mtu anayependa cheap popularity,Kama raisi uko wise huwez ruhusu ule ujinga
 
Hao wamarekani wamefuata nini Baltic Sea?

Wewe umesema neno hiyo sababu iliyofanya USA isidungue zile ndege, kwani walijua kuwa wao ndio wachokozi...wangeidungua ile ndege au zile ndege huo ndio ungekuwa mwisho wa USA as a superpower.
 
watu hilo swali hawajiulizi,
aliyebaki na mentality za cold war ni marekani,ndo maana anazidi kuweka majeshi yake karibu na Mpaka wa russia.

Wakati vita baridi inaisha walikubaliana kuvunja Nato na Warsaw pact,
wakati warusi walivunja ,marekani na wenzake hawakuvunja NATO ;badala yake wakaanza kuzishawishi nchi zilizokuwa kambi ya mrusi kujiunga na NATO,

Kwa mtu mwenye akili lazima aone kuwa marekani bado walikuwa na nia ya kuivunjavunja russia,
unategemea Russia atakaa tu kama mjinga asiriact kweli


well said, comrade
 
Hahaha daah we jamaa kwa story za kijeshi za uongo uongo hua nakuaminia kishenzi, ngoja Kuna mwenzake mmoja hivi nae atakuja hapa sasa hivi . Full uongo uongo tu
Nashukuru kwa kumgundua mkuu...Ukimuuliza source atakimbia kama swala
 
Here's why the Navy didn't shoot down the Russian fighter jets that buzzed by a US destroyer
Here's why the Navy didn't shoot down the Russian fighter jets that buzzed by a US destroyer

Ata warusi wana akili za kijinga tu ndo maan waturuki wakashot down...sababu ule ni upumbavu,kwa ninin usiheshimu mipaka ya mwenzako?
Russia siyo wajinga kama mnavyofikiria na mnacholalamikia hakina hoja ya msingi. Bombers za Russia kila siku zikiwa kwenye patrol wanapo scramble na ndege zao hizo bomber. US mara ya Kwanza alifurushwa na technology ya halima ya juu ya jamming ya kirusi sasa ameenda huko karekebisha karudi tena ku test tena wamempa la kati tena, mbona Nato members wanapo scramble bombers za Russia kwenye international airspace yeye alalamiki

MTAZAMO
US amekuwa so disappointed na failure of AEGIS SYSTEM to save purpose na hii system US alikuwa anategemea sana kupiga hela kutoka nchi za NATO sasa anaona kinachofanywa na mrusi ni kumwaribia deals zake na vilevile kutazusha mtafaruku nani ya US political system kwa sababu watu watahoji hela ya walipa kodi na mkumbuke F35 imeshaonesha failure na hii AEGIS system ndio air defence backbone in US army na hii kitu US inawaumiza sana
 
Ndio maana nakwambia nyir putinic hamna cha maana zaid ya kutafta cheap popularity kwenye putinic media...Kama putinic media hawajaandika ni wapi ulipopata habari kwamba walikuwa wakipiga na picha na kuwa kuna helkopta na ndege nyingine zilikuwa zina protect ivyo vi ndge vibovu vilivyokuwa vinachukua izo unazosema picha...Alafu pia uwe unaandika vitu una uhakika navyo sio kusema "usikute" guesing.....
Afu pia ni lazima U.S navy waandike what happened ili ulimwengu ujue how putin is idiot....
Yaan kwa akili zako ulitaka russian media ndio ziandike kwamba wali buzz Manowari ya U.S wakat ni kosa kumchokoza mtu kweny international waters?....
Yaan nyie watu sijui mna akili gani bana...
habari tunazipata toka media hizohizo za marekani,kama Putin angetaka angetaka kutangazwa,mbona hii habari haipo Russia Today,au media zozote za kirusi?.
Habari mara ya kwanza imekua breaked na US navy na ilitoka kama malalamiko,
sijui superpower gani huyu kazi kulalamika mda wote
 
Haya mambo tunayadili kutokana na media za Russia na western countries lakini mpaka Russia anaamua kufanya hicho alichofanya ujue kuna jambo hiyo mano waring ilikuwa inakifanya iliyofanya Russian wakatanua msuli kuwa international water sio kigezo change kufanya upelelezi kwa mwenzako alifurushwa akuache na ukitaka kuona Russia haikuwa inafanya uchokozi ila inareact ngoja US warudie tena.
 
Kuhusu libya,Russia alidanganywa kuwa wanaweka no fly zone sio vita,russia alipokauka wakaanza kuipiga libya,russia anashangaa wanamwambia no fly zone haiwezi kuwa effective mpaka waharibu air defence ya libya,command centre na military instlation zote.
Lakini hawakuishia hapo kwani waliendelea kuwapa silaha waasi,yule balozi wa marekani alieko libya ndo alikuwa anasimamia show,no wonder baadae aliuawa.
Lilipokuja ishu ya syria,Russia aligoma kuingizwa mjini kama ilivyokua kwa libya
Mkuu weka link (trusted source) inayoelezea makubaliano kati ya Veto powers kwenye UNSC kuhusu no fly zone ya Libya
 
Mkuu weka link (trusted source) inayoelezea makubaliano kati ya Veto powers kwenye UNSC kuhusu no fly zone ya Libya
hayakuwa makubaliano,russia na china waliabstain,lakini baada ya kuwa wameaminishwa vingine,ntakuwekea link mda si mrefu
 
In case utaona uvivu kufungua.
Russia accussed the United state and its european alliers of TRICKING fellow security council members and using a mandate to protect civilians as a cover for providing support to Libya rebels and ousting Gadaf,it was in short a REGIME CHANGE.
RUSSIA which abstain from the march 17,2011 vote to authorize use of force in libya and allowed it to pass,Vowed NOT TO LET THAT HAPPEN AGAIN IN SYRIA.


Russia U.N. veto on Syria aimed at crushing West's crusade | Reuters
 
Mtu atoke kwake kilomita kibao anakuja kufanyia mazoezi ya kung fu mlangoni kwako,na unatakiwa ukae kimya unamwangalia tu?

America should leave them alone and go home
Ha ha ha haaaaa

1460808634486.jpg
 
Back
Top Bottom