Hamna chochote cha maana walichofnay urusi hapo ambacho wewe unawaona wajanja kumbe wanatafuta kuandikwa na kujadiliwa kwenye mitandao tu kama unavyofanya wewe..Yaani wanafurahi sana kujadiliwa kwa vitu cheap kama hivi
Ndio maana Obama alimchana live tu Putin,kwamba Russia sio super power ni regional powermPutin alimind lakini huo ndo ukweli....sasa ili Russia aonekane yupo,ndio kama ivi anafanya provocative za kijinga ili wajadiliwe wajione nao ni ma Super kiasi flani..Ndioo maana nmekwambia hata izo sjui picha uanzosema walichukua,taarifa ulizozitoa kwenye Putinic social media hazina maana yyotge kwa super power kama U.Sndio maana anawona mbuzi tuu...mlikuwa strong kipindi cha USSR na akawagaragaza kama dekio,sasa leo mtamwambia nini..Kila siku mtaleta videge vyenu na vi Bomber outdated kule alaska then wanawasindikiza kurudi kwenu kwa kutumia F-15/16 na kuwaambia msirudie tena afu wanarudia kiilekile kama watoto...Super power hutakiwi kuwa provocative kijinga, kama kuwadungua wangekuta washazidungua zile bomberzenu outdated zinazokuja kuile alaska daily...
acha ushabiki maandazi mkuu,afu mwambie uyo idiot putin asiwe na akili kama za cold war,dunia ishabadilika sku izi..
Si mnaona pia mlileta vi submarine vyenu pale UK wakawapa warning mkageuza mkia,je wangamua kuwa shoot mngefanyaje...Usione watu wajinga wakia act wisely against you,jistukie