mm nikona jina HEMEDI huwa nakosa pozi...
ana ndugu yake humu JF akiwasikia atamtetea utadhani ni mumewe!
Poa Mrs. PHDwewe kumbe gash!umeandika kikike sana
Kubali una walakini kijinsia!utasemaje unakosa pozi ukimuona mwanaume?!jifikirie mara mbili kama wewe wa kiume ila kama wakike mzuka!...unakosa pozi!dah!Poa Mrs. PHD
msanii wa tanzania Hemedi PHD amejivunia mafanikio ya kulala na mastaa wa tanzania 32 tena bila kinga,ayo maneno ameyasema mwenyewe hemedi kwenye maojiano na mwandishi wa blog moja maarufu apa tz.
anasema yeye anajiita PHD sababu ya kulala na hao mabinti mastaa 32 wa tanzania.
maoni yangu: kumbe wakati watu wengine tukijisifu mafanikio ya kuishi maisha bora,kumbe kuna watu wanajisifu kwa kulala na mabinti wengi,mi kwa upande wangu naona huo siyo ujanja,mwanaume asifiwi idadi ya wanawake aliolala nao,bali anasifiwa kwa kazi na mafanikio aliyopata
mm nikona jina HEMEDI huwa nakosa pozi...
ana ndugu yake humu JF akiwasikia atamtetea utadhani ni mumewe!
Poa Mrs. PHD
King Kong we mkaree!, kwa hiyo demu alimchana jamaa pamoja na mbwembwe zote?Hemedi Hana kitu mademu anaowachukua ni Ubwete sana mie mwenyewe nshapiga demu wake m1 na ananiganda kinoma na anasema kwamba jamaa misifa tu game hawezi wala nini ndio maana aliachana nae!
Hemedi Hana kitu mademu anaowachukua ni Ubwete sana mie mwenyewe nshapiga demu wake m1 na ananiganda kinoma na anasema kwamba jamaa misifa tu game hawezi wala nini ndio maana aliachana nae!
Jaribu na wewe upitiwe ndo utapata jibu kama jamaa anajua au hajui!...King Kong we mkaree!, kwa hiyo demu alimchana jamaa pamoja na mbwembwe zote?
Hemedi Hana kitu mademu anaowachukua ni Ubwete sana mie mwenyewe nshapiga demu wake m1 na ananiganda kinoma na anasema kwamba jamaa misifa tu game hawezi wala nini ndio maana aliachana nae!
Jaribu na wewe upitiwe ndo utapata jibu kama jamaa anajua au hajui!...
Chilli toto limebinuka lile...
anajambia mbali...!!
watu wanasukuma kinyesi pale na huyu mke-dume wake humu!