babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,064
- 15,922
hivi hemed huwa anaimba nini zaidi ya kubana pua?
Fani za watu zimevamiwa mweeh
Fani za watu zimevamiwa mweeh
hivi hemed huwa anaimba nini zaidi ya kubana pua?
Fani za watu zimevamiwa mweeh
domo lake zito bwana...umekariri vibaya!!!sauti lote zito lile unasema anabana pua!dah.............
Yule mkali wa siku nyingi toka kinondoni TID hatimaye apata mpinzani wa kweli katika uimbaji,pamba na nyota kung'aa kwa watoto wazuri toka kwa P.H.D nae toka kinondoni ambaye jana Billz alionyesha umwamba wake mpaka TID akapanic kuendelea na show....big up P.H.D!!!!
domo lake zito bwana...
we nawe...kwani hili ndo domo zitoinawezekana embu cheki..
zito km vile kabugia koni ananyonyadomo lake zito bwana...
hahahahahahaahahahahah du....hakai mule!huwa namwonamwona pale kino nyuma ya mwanamboka jirani wanauza ktmoto kuna wadada wa kitanga wanakaa mule sijui analelewa mule ama ni dada zake sielewi
huwa namwonamwona pale kino nyuma ya mwanamboka jirani wanauza ktmoto kuna wadada wa kitanga wanakaa mule sijui analelewa mule ama ni dada zake sielewi
inawezekana embu cheki..
platinumz hana billions ila hela anayokamata kama yeye inamtosheleza na vitu anavyopenda na anavyomiliki vinaonekana kama gari na duka!P.H.D anakamata pakee katika industry ya bongo movie ila mali anazopenda kumiliki ni wanawake wazuri na kuvaa tu!si chizi magari!ila account yake kwa umri wake na jinsi deals zinavyozidi kumuendea swadakta basi muda utaongea!!!!
shosti kwenu nini mule?raya yupo?hahahahahahaahahahahah du....hakai mule!
shosti kwenu nini mule?raya yupo?[/QUOTE
sio kwetu mie...mhh swali lako tata!
shosti kwenu nini mule?raya yupo?[/QUOTE
sio kwetu mie...mhh swali lako tata!
tata kivp shosti?nimekuchungulia sana mitaa ile bila mafanikio,we haya bana
umenisoma..tata kivp shosti?nimekuchungulia sana mitaa ile bila mafanikio,we haya bana
hujui unachoongea!!!TID zamani si huyu ambaye komwe limemzidi na macho yamemtoka kama kapigwa ngumi za machoni na anayejisahau hata akipiga pamba jasho linaacha ramani makwapani!!!!!TID nilikuwa namkubali sana ila kwa matumizi ya nyeupe huwezi kumuweka ligi moja na PHD!!!!HEMEDY hata avae gunia atapendeza!
Kili music awards!!!ngoma ya hemed iitwayo usiniache ipo na f.y.I hii ngoma ametoa video tu!audio haijawa released!TID ana ngoma mpya kama mbili lakini hamna iliyobamba!TID wa jana si wa leo!!!kina ommy dimpoz ndo wanaibeba top band!hehehe! sizungumzii kupendeza, samahan sana! nazungumzia kazi zao za kimuziki sawa MUUZA SURA??
hedem yah ata akivaa bikini atapendeza ni mrembo kwa kweli, hongera zake.