Hili ndo tatizo la vijana WA Kitanzania katika fani ya sanaa..kuna wengi tu wenye akili kama za huyo kijana na hawajui protocal za maisha..wana ndoto kubwa za kuweza kuzitimiza ila hawana nidhamu ya njia zitumiwazo kuweza kufikia malengo yao...si muimbaji mzuri sana lakini anaweza kujifunza zaidi akawa mwimbaji mzuri...lakini kutokana na dharau zake na kiburi chake atabakia kuvaa na kupata hela za kuingilia katika kumbe za starehe tu na si zaidi ya hapo..