HELP..Leo mpenz wang kaja kuniomba msamaha..kwasababu ameniambia kwanga wik 3 zilizo pita alilala na mwanaume mwingine...anasema anajutia na anaomba msamaha..na anatishia kujiua kama nisipo msamehe.cjui nifanye..kwa sasa sii hitaji hata kumuona,na mwona kama uchafu..nifanye nn.?nimsamehe au nimwache..?