Help:nimechapiwa sijui nifanye nini

Help:nimechapiwa sijui nifanye nini

kuntio

Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
13
Reaction score
1
HELP..Leo mpenz wang kaja kuniomba msamaha..kwasababu ameniambia kwanga wik 3 zilizo pita alilala na mwanaume mwingine...anasema anajutia na anaomba msamaha..na anatishia kujiua kama nisipo msamehe.cjui nifanye..kwa sasa sii hitaji hata kumuona,na mwona kama uchafu..nifanye nn.?nimsamehe au nimwache..?
 
wewe msamehe tuu asije akajiua ukapata matatizo, cha muhimu hapo umeshajua kwamba huyo hakufai. Uhusiano utaanza kufa taratibu kadri siku zinavyoenda wala huna haja ya kumchanganya akili maana kashajichanganya mwenyewe.
 
Hivi inakuwaje unalalwa na mwanaume huko halafu unaenda kufanya Confession

si angeenda hata kwa baba Paroko kuconfess.......maana unaweza dhani utasamehewa

kumbe wajipalia mkaa..kuwa cheated inaumiza sana hasa kwa mtu unaempend kwa dhati...

the worst feeling ever
 
Ntashangaa sana ukimsamehe.
Unatakiwa ujue kuwa hukuzaliwa nae huyo mme kutana duniani bahati mbaya tuu, hivyo unatakiwa kuchukua maamuzi magumu hasa mtu anapo kiri kukisaliti makusudi.

Tatizo lako unafikiri uwezi kuishi bila yeye na anajua hilo ndio maana ame kusaliti na amekuja kukwambia na mkwara juu wa kujiua.

Na kuhakikishia ukimwambia unamuacha ataanza kukubembeleza badala ya kujiua kama alivyo sema.

Usikubali kupumbazwa na maneno na vitisho vya kujiua muache aende.



Usiogope kuumia muache na usipofanya hivyo ataendelea kukusaliti huku akijua huto muacha maana unajua atajiua.
 
Kama bado unampenda mpokee tu. ni ajali tu hiyo
 
Huyo mkubalie tu mdomoni halafu unampiga kibuti mdogo mdogo ..

Akija stuka game over
 
Kama bado unampenda mpokee tu. ni ajali tu hiyo

Cheating-is-not-an-accident.jpg
 
Ntashangaa sana ukimsamehe.
Unatakiwa ujue kuwa hukuzaliwa nae huyo mme kutana duniani bahati mbaya tuu, hivyo unatakiwa kuchukua maamuzi magumu hasa mtu anapo kiri kukisaliti makusudi.

Tatizo lako unafikiri uwezi kuishi bila yeye na anajua hilo ndio maana ame kusaliti na amekuja kukwambia na mkwara juu wa kujiua.

Na kuhakikishia ukimwambia unamuacha ataanza kukubembeleza badala ya kujiua kama alivyo sema.

Usikubali kupumbazwa na maneno na vitisho vya kujiua muache aende.



Usiogope kuumia muache na usipofanya hivyo ataendelea kukusaliti huku akijua huto muacha maana unajua atajiua.

Rutta hivi mtu anaetaka kwenda kujiua huwa anasema sema....its all about action....

Kujiua mchezo......
 
Hivi inakuwaje unalalwa na mwanaume huko halafu unaenda kufanya Confession

si angeenda hata kwa baba Paroko kuconfess.......maana unaweza dhani utasamehewa

kumbe wajipalia mkaa..kuwa cheated inaumiza sana hasa kwa mtu unaempend kwa dhati...

the worst feeling ever

Heaven on earth huyo binti alisha msoma huyo jamaa na akajua udhaifu wake ndio maana ame comfess akijua ata samehewa, na hata mleta mada alisha msamehe muda mrefu hapa ana hitaji go a head tuu.

No wonder hili swala la kujiua limewekwa hili kushinikiza maamuzi yake tuu.
 
Last edited by a moderator:
na wewe tafuta chapa alafu ukamwambie kupunguza makali ya maumivu, ila huyo akuheshimu, unachapwa alafu unakuja kusema. si sawa.

jamaaa unaonekana we ni mdhifu sana kw a huyo demu ndo maana hata kaweza kukwambia,
 
asingekwambia ungejua? na kama hukujua bado ungekasirika? Je, vita si rahisi kupgana na adui unaemjua?? Yu wapi alie malaika chini ya jua?? Mkataa pema.......
 
Rutta hivi mtu anaetaka kwenda kujiua huwa anasema sema....its all about action....

Kujiua mchezo......


Unajua mtu akijua we ni dhaifu sana huwa anasema chochote tuu na kwa udhaifu wako unaweza kukubali chochote.

Kifupu mleta mada ana hitaji ruhusa yenu tuu au baraka zenu tuu maana alisha hamua kumrudia.

Isitoshe hii story ya sumu sito nunua kabisa inaonesha ni ya kushinikiza maamuzi yake.
 
Akikusamehe uache ujinga wako wa kuhadithia kila kitu hadi visivyohadithiwa
 
.
.
.
.
.
kumegewa kawaida sana tu tena sana mtu wangu,na hapo ni opotyuniti cost kama unadhani kakukosea sana kutoweza kuendelea nae achana nae,kama unadhani unampenda sana na unaweza kuendelea nae endelea nae.......cha muhimu ni kumsamehe haijalishi utaendelea nae au la.
.
.
.
.
.
ila nakwambia,tambua kuwa sio mara ya kwanza na haitakuwa mara ya mwisho kumegewa.
.
.
.
.
.
.
anakwambia anakupenda dunia nzima hakuna wakati kwa tanzania tupu hajatembea mikoa zaidi ya mitano,east africa anaisikia tu nyambafu wizi mtupu
 
# Haya maneno walinena wazee wa zamani,
Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani - Richard Mavoko.
 
.
.
.
.
.
.
na hapo hajapata audience na watu mashuhuri.........teh teh teh


single boy wa ali kiba na jide for you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom