kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,239
- 17,677
Msije kunianzishia uchungu kabla ya wakati nyie....lol....
whaaat!! hongera kibao kwako
Msije kunianzishia uchungu kabla ya wakati nyie....lol....
Jibu litatoka kwangu kwa maana tunashare password
Msije kunianzishia uchungu kabla ya wakati nyie....lol....
hahahaaa.... Mimi huniwezi aisee, komaa na akina tinna cute, lady doctor ni chata ingine!
aaah!!!! mwache tu akomae na mimi ntamvuruga mpaka aandike post kuomba ushauri.........
aaah!!!! mwache tu akomae na mimi ntamvuruga mpaka aandike post kuomba ushauri.........
sosoliso hali yangu taabani na ndio maana nimepunguza muda wa kuingia jukwaani... Kama utakumbuka vizuri 28th Dec 2012 tulienda Tanga na mume wangu Filipo hakucheza mbali akafanya kweli.. Sasa niko kwenye dakika za majeruhi... any time nitawaletea Filipo junior......... Mume wangu yuko bega kwa bega na mimi , tunaomba mtuombee tumalize hii safari salama..... cc Arushaone na wengine
Aisee tinna cute maendeleo vipi.....maana sijajapo siku nyingi kuu mtaa
maendeleo safi sana!!! yani huu mtaa wakarimu sana wameniteka.
Ndio raha ya huku....mie nikiwa na stress zangu nahamia huu mtaa/.......
halafu acha uchoyo wa like looh...na kuonyesha umeacha uchoyo anza kunigongeamimi
sio uchoyo shoga!!!! natumia cm mwenzio na hainipi option ya ku like......
we mgeni mbona hunisalimii?
sio uchoyo shoga!!!! natumia cm mwenzio na hainipi option ya ku like......
we mgeni mbona hunisalimii?
mbonahii salam waingangania sana!!!!!!!!!!
ngoja nikalale ndugu! niko mbali na kitanda almost 6km..
good night!!
haya nimekuletea togwa bibie,karibu uinywe.asante, uki log in usisahau kunipa kinywaji eeeeeenh...........
haya nimekuletea togwa bibie,karibu uinywe.
Nalog off