nakwambia ivi ile post ilikuwa kwa my hubby, na id yng anaijua!!! yani ye mwenzangu usiku bize na JF ni vicheko kwenda mbele ukiuliza nini aaah jf bwana. ooooh!!! nilivyochoka sasa nikasema hebu na mie nijichetue huko jf haaaaaaa!!! pm mbona kumejaaaa watu wana dogo humu.................., kuona ivo mbona kajirekebesha vicheko vya jf sa ivi usiku hakuna labda anachekea moyoni????? na penzi limechanua ilo kama kaniona jana yani sa hivi ni mwendo wa kusifiwa tu!!!!!! "ooooh! unajua ur so beatifully and sexy ur eyes drive me cryz"!!! hicho kisura kama cha kiarabu hebu njooo hapa.........." na dar tunaenda wote wakati hata mpango hakuwa nao sijui kadanganya nini huko ofisini kwao!!!.