Hellow wana cc

Hellow wana cc

Ujumbe wako murua sana...

If you can read this, you have a strong mind ~
7H15 M3554G3 53RV35 7O PR0V3 H0W 0UR M1ND5 C4N D0 4M4Z1NG 7H1NG5! 1MPR3551V3 7H1NG5! 1N 7H3 B3G1NN1NG 17 WA5 H4RD BU7 N0W, 0N
7H15 7IM3 Y0UR M1ND 1S R34D1NG 17 4U70M471C4LLY W17H0U7 3V3N 7H1NK1NG 4B0U7 17, B3 PROUD! 0NLY C3R741N P30PL3 C4N R3AD 7H15. Like if you read it well and welcome on board tinna cute ila chunga sana huu mji una wajanja wengi akiwepo watu8.

CC figganigga.
 
Last edited by a moderator:
Hivi ulipataga mtu wa kukuzimia taa na kukufunika shuka?
Na wa kukushika mkono mjini. ...teh teh teh!!!

Kwani una mtoto wa kiume ambae hajaoa bado!?? Steve Dii si alishaoa, au unamaanisha nini!?
 
Last edited by a moderator:
Hivi ulipataga mtu wa kukuzimia taa na kukufunika shuka?
Na wa kukushika mkono mjini. ...teh teh teh!!!

nakwambia ivi ile post ilikuwa kwa my hubby, na id yng anaijua!!! yani ye mwenzangu usiku bize na JF ni vicheko kwenda mbele ukiuliza nini aaah jf bwana. ooooh!!! nilivyochoka sasa nikasema hebu na mie nijichetue huko jf haaaaaaa!!! pm mbona kumejaaaa watu wana dogo humu.................., kuona ivo mbona kajirekebesha vicheko vya jf sa ivi usiku hakuna labda anachekea moyoni????? na penzi limechanua ilo kama kaniona jana yani sa hivi ni mwendo wa kusifiwa tu!!!!!! "ooooh! unajua ur so beatifully and sexy ur eyes drive me cryz"!!! hicho kisura kama cha kiarabu hebu njooo hapa.........." na dar tunaenda wote wakati hata mpango hakuwa nao sijui kadanganya nini huko ofisini kwao!!!.
 
nakwambia ivi ile post ilikuwa kwa my hubby, na id yng anaijua!!! yani ye mwenzangu usiku bize na JF ni vicheko kwenda mbele ukiuliza nini aaah jf bwana. ooooh!!! nilivyochoka sasa nikasema hebu na mie nijichetue huko jf haaaaaaa!!! pm mbona kumejaaaa watu wana dogo humu.................., kuona ivo mbona kajirekebesha vicheko vya jf sa ivi usiku hakuna labda anachekea moyoni????? na penzi limechanua ilo kama kaniona jana yani sa hivi ni mwendo wa kusifiwa tu!!!!!! "ooooh! unajua ur so beatifully and sexy ur eyes drive me cryz"!!! hicho kisura kama cha kiarabu hebu njooo hapa.........." na dar tunaenda wote wakati hata mpango hakuwa nao sijui kadanganya nini huko ofisini kwao!!!.

wacha weee....kwa hiyo na wewe unakuja Dar kuja kutazama Mabugando yanapita juu ya maji?

halafu ukifika Dar usiache kuja kupiga picha hapa chini:


manzese.jpg



Halafu unajua huku Dar kuna TV hadi barabarani...wenzenu huwa tunaangalia video kila siku...
Hivi vijitu viwili unavyoviona hapa chini kulia, kamoja ni kasteringi na kengine hako kanakotembea ni kajambazi kanataka kutoroka


Traffic.jpg
 
wacha weee....kwa hiyo na wewe unakuja Dar kuja kutazama Mabugando yanapita juu ya maji?

halafu ukifika Dar usiache kuja kupiga picha hapa chini:


manzese.jpg



Halafu unajua huku Dar kuna TV hadi barabarani...wenzenu huwa tunaangalia video kila siku...
Hivi vijitu viwili unavyoviona hapa chini kulia, kamoja ni kasteringi na kengine hako kanakotembea ni kajambazi kanataka kutoroka


Traffic.jpg

Haaaaa!!! mabugando muhimu jaman, ntasimulia nn mie!!!!
 
Karibu sana, ukiwa huku hapo juu huwa tunaandika "nini?" na sio "nn?" Kuwa makini na magumegume wa huku,utawaona tu kwa maandishi yao ya mbwembwe, kama huyo hapo juu aliyechanganya herufi mwambatano na tarakimu..

Mgeni mbona hujamjulisha mambo mawili muhimu:
1. Baba V ndo chaimeni hapa chitchat
2. Bishanga ndo mwanaume single peke yake hapa chitchat na anatamani kupata mwenza.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom