The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,540
thanx kwa kunipokea, Wasikupe shaka hao me mwnyw kajanja janja mziki wangu spidi 120 watausoma tu!!!
Mama weeeeeeeeeee yahya
thanx kwa kunipokea, Wasikupe shaka hao me mwnyw kajanja janja mziki wangu spidi 120 watausoma tu!!!
nakwambia ivi ile post ilikuwa kwa my hubby, na id yng anaijua!!! yani ye mwenzangu usiku bize na JF ni vicheko kwenda mbele ukiuliza nini aaah jf bwana. ooooh!!! nilivyochoka sasa nikasema hebu na mie nijichetue huko jf haaaaaaa!!! pm mbona kumejaaaa watu wana dogo humu.................., kuona ivo mbona kajirekebesha vicheko vya jf sa ivi usiku hakuna labda anachekea moyoni????? na penzi limechanua ilo kama kaniona jana yani sa hivi ni mwendo wa kusifiwa tu!!!!!! "ooooh! unajua ur so beatifully and sexy ur eyes drive me cryz"!!! hicho kisura kama cha kiarabu hebu njooo hapa.........." na dar tunaenda wote wakati hata mpango hakuwa nao sijui kadanganya nini huko ofisini kwao!!!.
une ndi kumbwani lilino...nasokilepo kukajha
kumbwani poki?
Hawezi kukukataza, kwanza na yeye itakuwa imemuongezea CV kwamba ameoa mtu ambae alishawahi kutoka outting na MWENYEKITI...
Cc. Arushaone.
Ni vizuri kuwa na matumaini, huyo Queen Kan ana hasira za kuporwa mume, jana alikuwa anaulizia maduka wanayouza nyembe kwa jumla ili akamfanyizie mbaya wake, angalia asijepumzika kwenye usingizi wako wakati anatafuta solution ya ndoa yake. Mi mwenyewe nimeku miss hadi balaa, weekend nikutafutie wapi, bosi wangu kule ninakolinda godauni atanilipa malimbikizo yangu kesho. Sema nikupeleke wapi usahau maumivu ya kuugua.
Kwa hisani ya Arushaone.
thanx kwa kunipokea, Wasikupe shaka hao me mwnyw kajanja janja mziki wangu spidi 120 watausoma tu!!!
haaaaaa!! maneno yangu mengi lakini yanakupa raha eeeenh!! we mambo ya id yng achano nayo......
hewalaaa...nitumie meseji kule PM nikuelekeze...mimi ndio mweka hazina wa hiki kijiwe...
Don't worry. Time will tell though...!
========Akili mu kichwa siyo??==========