Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Mambo vipi wapendwa baada ya kimya kingi nimerudi tena safari hii nimeibukua huku mji wa kitalaii Arusha,kwaherini wapendwa wangu wa Dar Es Salaam hasa baba yangu@Mtambuzi tutaonana nikija kutembea,hope wadau wa Arusha you will be there for me.
Cantalisia mzima weye,
utamfanya baba yako Mtambuzi afungwe tu;
huku dar keshakula mahari ya watu kibao.
Sijambo kabisa mrembo;
Nilikumisi sana ujue
Sio mbaya lakini.
Msalimie sana.