Hellow wana Arusha ndio Nimehamia...

Cantalisia

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
5,222
2,925
Mambo vipi wapendwa baada ya kimya kingi nimerudi tena safari hii nimeibukua huku mji wa kitalaii Arusha, kwaherini wapendwa wangu wa Dar Es Salaam hasa baba yangu Mtambuzi tutaonana nikija kutembea, hope wadau wa Arusha you will be there for me.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom