Hello!

Karbu sana kujifunza,,maana umejitambuisha na kueleweka wewe ni me,so endelea kuinjoy jf ,, napenda watu wte Ila watanga nawaenda zaid maana wanapaga fursa nying kulko mikoa mingine....
 
Ahsante sana!! Nipo tanga kwa mihangaiko tu ila sio mzaliwa. Usiombe kuwa Mtanga ndugu ni moja kati ya watu wasiopenda sana kazi hasa vijana
 
Jina naitwa Reagan. Ni kijana mdogo kabisa ambaye nipo hapa kujifunza mengi jutoka kwenu wakubwa zangu. Hitifaki imezingatiwa

Natokea Tanga Tanzania. KARIBUNI SANA
safi sana! si unataka kujifunza nikufundishe namna ya kupigwa BAN..?
 
Back
Top Bottom