Hata ukijua utafanya Nini? Wewe ajira mpya unaanza kuwa na hofu ya kupigwa? Walimu huwa hawahoji Sana huenda wewe ukawa mnoko Sana.Habari wakuu, nauliza kiasi gani kinatolewa kwa ajili ya fedha ya kujikimu kwa walimu wapya maana nataka kujua wale walio na taarifa yake ili tugundue kama kuna upigaji unaoendelea hasa halmashauri.
Mpwayungu VillageHabari wakuu, nauliza kiasi gani kinatolewa kwa ajili ya fedha ya kujikimu kwa walimu wapya maana nataka kujua wale walio na taarifa yake ili tugundue kama kuna upigaji unaoendelea hasa halmashauri.
Njoo huku uwatetee walimu wenzio
Hakuna hela, huwa wanapata hata wiki mbili mbele baada ya kuripotikwani mmeshapata? manake kuna vijana wananipigia simu kuomba pesa za kujisetiri wanapozisubiria hizo pesa.
Msaidieni huyo adui mpya wa mtu mzima Mpwayungu Village
Sawa tuu.
Mbona unatuharibia wahusika? Tunataka kumpa lakiKwa elimu ya degree ukipata chini ya milioni umepigwa
Walimu ni walalamishi sana,. hapa anatafuta sababu za kujilalamishaHata ukijua utafanya Nini? Wewe ajira mpya unaanza kuwa na hofu ya kupigwa? Walimu huwa hawahoji Sana huenda wewe ukawa mnoko Sana.
AhahahahaMbona unatuharibia wahusika? Tunataka kumpa laki
Hata ukijua utafanya Nini? Wewe ajira mpya unaanza kuwa na hofu ya kupigwa? Walimu huwa hawahoji Sana huenda wewe ukawa mnoko Sana.
Unasaga kunguni mkuu