Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,655
Akileta ubisho soon B atabanduliwa na vijana wa 2000 km ilivyotokea kwa Jada wa Will Smith vijana wa 2000 wanakula mpaka tope sababu ya Will kuleta ubishoo kwa hio lazima aonyeshe ufather ukoloni na ubandidu sura ya kauzu unaijua dagaa kauzu ushawahi kumuona anachekacheka?Jay z ndo anazidi kuonekana kama jambazi flani hivi