Utaula wa chuya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 607
- 1,775
Ila mafao yenu wastaafu bado ni madogo sana ndugu yangu, yaani unafanya kazi kwa zaidi ya miaka 29 alafu eti unalipwa milioni 72? Pesa ambayo kuna watu hapa mjini anafanya biashara raundi mbili anaipata. Kwakweli wandugu tutafuteni pesa kupitia biashara


Mi sijui bado miaka 11, ngoja nipambane mkuu 