Heeee mama kumbe ushenzi uliuanza zamani..........

Heeee mama kumbe ushenzi uliuanza zamani..........

Habari za mda huu wana MMU

Majira haya ya saa 4 usiku natoka kwa mupenzi ninaetarajia kumtia chuo (ndoa) aliniita nimpelekee hela ya kujikimu kwa matumizi.

Nimefika tumekaa barazani mara kapita mama yake alikua ameletewa ugoro akausifu kwa kua ni mwingi akasema enzi anasoma chuoni alikua akibeba na kuenda nao kupiga uraibu huko chuoni na baazi ya wanafunzi walikua wakimuomba na alikua akiwapatia ila ilikua ukiwazingua mara walie,wengine hujikojolea.

"Mama kumbe ushenzi uliuanza zamani" maneno hayo yamemtoka mtarajiwa wangu kumuambia mama ake mzazi tukiwa barazani mi sikupenda nikamfinya kidogo kumuonesha nimechukia na asirejee tena.

"Unanifinya namna hii kwani yule ni mama yako" kauli hii ilizidi kunichoma na kunifanya nichukie zaidi na kujenga masuali yasio na majibu kwa haraka.

Alinyanyuka mchumba wangu kuenda kuchukua chakula ili amletee mtoto ale pale nje aliponyanyuka yeye akaja dada yake kuja kunipa kapani na kunisalimia shemeji yake sikuona vibaya nikamsimulia kisa cha mdogo wake na kumtaka amkanye kwani yule ni mzee wake yapaswa kumuhishimu.

Basi hapo mapenzi yaligeuka yakawa uhasimu alipotuona tunaongea na dada yake yeye hakurudi tena pale akaa pembeni ili kumrizisha nikamuambia njoo tukae wote "Sina ten muda wa kukaa njee naenda kulala" hilo ndilo lililokua jibu lake.

Niliendelea kupiga stori na dada yake na kumuambia unaona majibu ya mdogo wako hayo jeee huko katika ndoa itakuaje " Shem tabia ni kama ngozi mvumilie tuuu" alinijibu

Nikamuita mupenzi aje nimuage niondoke " kama umechoka kutoa umbea nenda zako" mi nikaamua kuwasha usafiri wangu na kuondoka.

Niko njiani kuelekea home sms kibao
Ukikaa na malaya wako mi sitaki kuongelewa km mimi sikufai basi mchukuwe yeye tena namba yake nataka ufute ukome kunidiskasi na mpuuzi yule tabia yako hii sijapenda

Sms ziko kama 10 kapiga simu sijapokea kaengeza na nyengine sms za kulani

"Bby samahani zilikua ni hasira tuuu plz pokea simu yangu"

Mi mawazo yananipa nimwage manyanga hasa kwa vile nishagegeda sana maana naona huko katika ndoa kutakua ni sawa na uwanja wa fujo kwa staili hii

Wadau niambieni munaonaje hii hali?
jaalia imekutokea ww

vijana wa siku hizi mmekua kama vespa za unguja, injini strokes mbili tu.... we hadi unataka kuoa hujamjua mpenzio japo ABC??

haya kijana, naona afadhali ya maharage ya mbeya
 
Mkuu pole kwa yaliyokukuta . Huyo dada ni mtu mwenye gadhabu na huenda hajui kuchagua maneno ya kuzungumza awapo ktk hali hiyo. Tabia hii hutokana na malezi na wengine wanajikuta wako hivyo hata wapatapo malezi mazuri. Leo umezungumzia negative side ya mchumba wako sasa hii haitoshi kukuambia kuwa huyo bi dada hakufai na pia umezungumzia upande wake je upande wako kuna nini. Naamini yapo mambo kadhaa na yeye anakuvumilia.

Nafikiri ni jambo jema kama utazungumza nae na umsaidie kubadilika . Hapa jamvini wengi tunatoa mawazo mazuri unaweza jenga taswira kwamba hatuna kasoro kitu ambacho si kweli. Najua kuna mabinti wana majibu mabaya sana lkn moyoni anakua anakupenda ila anashindwa kujicontrol kwani mambo mengine ni spiritual na yanatatuliwa spiritually . Kuna mdada alikua mkorofi sana lkn alikua na upendo sana kwa mumewe na mwenye huruma sana lkn hiki kilikua kilema chake. Ailopogundua kuwa tabia ile si njema akaanza jitihada ya kuikana tabia ile na kwa msaada wa wapendwa hasa kwa maombi aliweza kufunguliwa na kuwa safi kabisa.
 
Bado ana akili ya kitoto akikua ataacha, pamoja na kudai umeshagegeda kwa sana, unampenda kiasi cha kuamua kutaka kumuoa hivyo hata tabia yake umeridhika nayo. Msamehe kwa sasa ila kama harusi iko mbali muweke kwenye probation ya miezi mitatu mpaka sita na uwe unazuka sana kwao ili uone mawasiliano yake na mama yake na nduguze wengine kama hayakufurahishi basi bwaga manyanga.
 
Ukizingatia umeshamgegeda sana!!!! Hapa unataka kusema nini?
 
I feel sorry 4u buddy! Try to understand her & make her change coz she's yours.
 
Tabia zingine nikizisikia hapa nashangaa,, huyo binti hana adabu wala heshima kuwa makini..
 
Mchukue mchumba wako et ushagegeda sana sasa unataka nan amchukue?
 
kumuacha siyo kosa ndiyo umuhimu wa kuchunguzana muda wa uchumba

kosa lake kumuita mama yake mzazi - MSHENZI je mama yako atamuita nani?

Kosa kuonywa asikubali je hapo baadaye ataonyeka kweli

kosa kumuita dada yake malaya. Je wifi zake (dada zako) atawaitaje?

KOSA LAKO KUGEGEDA KABLA YA NDOA !!
 
Habari za mda huu wana MMU

Majira haya ya saa 4 usiku natoka kwa mupenzi ninaetarajia kumtia chuo (ndoa) aliniita nimpelekee hela ya kujikimu kwa matumizi.

Nimefika tumekaa barazani mara kapita mama yake alikua ameletewa ugoro akausifu kwa kua ni mwingi akasema enzi anasoma chuoni alikua akibeba na kuenda nao kupiga uraibu huko chuoni na baazi ya wanafunzi walikua wakimuomba na alikua akiwapatia ila ilikua ukiwazingua mara walie,wengine hujikojolea.

"Mama kumbe ushenzi uliuanza zamani" maneno hayo yamemtoka mtarajiwa wangu kumuambia mama ake mzazi tukiwa barazani mi sikupenda nikamfinya kidogo kumuonesha nimechukia na asirejee tena.

"Unanifinya namna hii kwani yule ni mama yako" kauli hii ilizidi kunichoma na kunifanya nichukie zaidi na kujenga masuali yasio na majibu kwa haraka.

Alinyanyuka mchumba wangu kuenda kuchukua chakula ili amletee mtoto ale pale nje aliponyanyuka yeye akaja dada yake kuja kunipa kapani na kunisalimia shemeji yake sikuona vibaya nikamsimulia kisa cha mdogo wake na kumtaka amkanye kwani yule ni mzee wake yapaswa kumuhishimu.

Basi hapo mapenzi yaligeuka yakawa uhasimu alipotuona tunaongea na dada yake yeye hakurudi tena pale akaa pembeni ili kumrizisha nikamuambia njoo tukae wote "Sina ten muda wa kukaa njee naenda kulala" hilo ndilo lililokua jibu lake.

Niliendelea kupiga stori na dada yake na kumuambia unaona majibu ya mdogo wako hayo jeee huko katika ndoa itakuaje " Shem tabia ni kama ngozi mvumilie tuuu" alinijibu

Nikamuita mupenzi aje nimuage niondoke " kama umechoka kutoa umbea nenda zako" mi nikaamua kuwasha usafiri wangu na kuondoka.

Niko njiani kuelekea home sms kibao
Ukikaa na malaya wako mi sitaki kuongelewa km mimi sikufai basi mchukuwe yeye tena namba yake nataka ufute ukome kunidiskasi na mpuuzi yule tabia yako hii sijapenda

Sms ziko kama 10 kapiga simu sijapokea kaengeza na nyengine sms za kulani

"Bby samahani zilikua ni hasira tuuu plz pokea simu yangu"

Mi mawazo yananipa nimwage manyanga hasa kwa vile nishagegeda sana maana naona huko katika ndoa kutakua ni sawa na uwanja wa fujo kwa staili hii

Wadau niambieni munaonaje hii hali?
jaalia imekutokea ww

hapa hakuna muoji ni fujo tu zinaendelea..
 
kumuacha siyo kosa ndiyo umuhimu wa kuchunguzana muda wa uchumba

kosa lake kumuita mama yake mzazi - MSHENZI je mama yako atamuita nani?

Kosa kuonywa asikubali je hapo baadaye ataonyeka kweli

kosa kumuita dada yake malaya. Je wifi zake (dada zako) atawaitaje?

KOSA LAKO KUGEGEDA KABLA YA NDOA !!

Hajamuita mamake mshenzi amesema ushenzi ulianza zamani which is true
Inawezekana mpenzi alikuwa kwenye siku zake basi akawa kwenye mood mbaya uwa inatokeaga.
Huyo mwanaume nae inaonyesha ana gubu kama nini, ndio nini kumwita sisteri na kuanza kumdiskasi mwenziye? Basi naye hana staha
 
hujasema kama hili lilishatokea tena zaid ya jana, binadam kunasiku ukichaa wetu unaongezeka tukijishtukia tunajirud..istoshe wapo watu wanautani (japo mimi huwa nauona ni mbaya) na wazazi wao kiasi cha kumropokea lolote. Yeye na dada yake wala ustake kujua kwanini kamuita malaya labda kama unajua stori zao vyema
 
Hivi unamwacha kwasababu ushamgegeda sana au kwa sababu ya tabia mbaya ulizosema...? Sa hivi ndo umezijua kipindi unamgegeda hukujua tabia zake?
 
Habari za mda huu wana MMU

Majira haya ya saa 4 usiku natoka kwa mupenzi ninaetarajia kumtia chuo (ndoa) aliniita nimpelekee hela ya kujikimu kwa matumizi.

Nimefika tumekaa barazani mara kapita mama yake alikua ameletewa ugoro akausifu kwa kua ni mwingi akasema enzi anasoma chuoni alikua akibeba na kuenda nao kupiga uraibu huko chuoni na baazi ya wanafunzi walikua wakimuomba na alikua akiwapatia ila ilikua ukiwazingua mara walie,wengine hujikojolea.

"Mama kumbe ushenzi uliuanza zamani" maneno hayo yamemtoka mtarajiwa wangu kumuambia mama ake mzazi tukiwa barazani mi sikupenda nikamfinya kidogo kumuonesha nimechukia na asirejee tena.

"Unanifinya namna hii kwani yule ni mama yako" kauli hii ilizidi kunichoma na kunifanya nichukie zaidi na kujenga masuali yasio na majibu kwa haraka.

Alinyanyuka mchumba wangu kuenda kuchukua chakula ili amletee mtoto ale pale nje aliponyanyuka yeye akaja dada yake kuja kunipa kapani na kunisalimia shemeji yake sikuona vibaya nikamsimulia kisa cha mdogo wake na kumtaka amkanye kwani yule ni mzee wake yapaswa kumuhishimu.

Basi hapo mapenzi yaligeuka yakawa uhasimu alipotuona tunaongea na dada yake yeye hakurudi tena pale akaa pembeni ili kumrizisha nikamuambia njoo tukae wote "Sina ten muda wa kukaa njee naenda kulala" hilo ndilo lililokua jibu lake.

Niliendelea kupiga stori na dada yake na kumuambia unaona majibu ya mdogo wako hayo jeee huko katika ndoa itakuaje " Shem tabia ni kama ngozi mvumilie tuuu" alinijibu

Nikamuita mupenzi aje nimuage niondoke " kama umechoka kutoa umbea nenda zako" mi nikaamua kuwasha usafiri wangu na kuondoka.

Niko njiani kuelekea home sms kibao
Ukikaa na malaya wako mi sitaki kuongelewa km mimi sikufai basi mchukuwe yeye tena namba yake nataka ufute ukome kunidiskasi na mpuuzi yule tabia yako hii sijapenda

Sms ziko kama 10 kapiga simu sijapokea kaengeza na nyengine sms za kulani

"Bby samahani zilikua ni hasira tuuu plz pokea simu yangu"

Mi mawazo yananipa nimwage manyanga hasa kwa vile nishagegeda sana maana naona huko katika ndoa kutakua ni sawa na uwanja wa fujo kwa staili hii

Wadau niambieni munaonaje hii hali?
jaalia imekutokea ww
Huyo hana adabu kabisa tena ni -------- yaani dada yake anamuita malaya? au wanatabia ya kuchukuliana wachumba maana kwa akili ya kawaida umalaya wa dada yake uko wapi kwa kuongea na wewe? hapo nahisi huwa wanashare wachumba ndo maana kapata ujasiri wa kumwambia malaya,then hiyo familia siyo mtoto anaweza kumwambia mama yake maneno hayo mbele ya mkwe theni mama yake akakaa kimya hata bila kumuonya kweli? angekuwa mwingene angemuonya mbele yako maana hata wewe ni mwanae sidhani kama angeogopa kumkanya mwanae mbele yako, mpaka hapo tu huyo mwamke kwangu hana sifa za kuwekwa ndani kama ndugu zake hawaheshimu itakuwaje wa kwangu!
 
Habari za mda huu wana MMU

Majira haya ya saa 4 usiku natoka kwa mupenzi ninaetarajia kumtia chuo (ndoa) aliniita nimpelekee hela ya kujikimu kwa matumizi.

Nimefika tumekaa barazani mara kapita mama yake alikua ameletewa ugoro akausifu kwa kua ni mwingi akasema enzi anasoma chuoni alikua akibeba na kuenda nao kupiga uraibu huko chuoni na baazi ya wanafunzi walikua wakimuomba na alikua akiwapatia ila ilikua ukiwazingua mara walie,wengine hujikojolea.

"Mama kumbe ushenzi uliuanza zamani" maneno hayo yamemtoka mtarajiwa wangu kumuambia mama ake mzazi tukiwa barazani mi sikupenda nikamfinya kidogo kumuonesha nimechukia na asirejee tena.

"Unanifinya namna hii kwani yule ni mama yako" kauli hii ilizidi kunichoma na kunifanya nichukie zaidi na kujenga masuali yasio na majibu kwa haraka.

Alinyanyuka mchumba wangu kuenda kuchukua chakula ili amletee mtoto ale pale nje aliponyanyuka yeye akaja dada yake kuja kunipa kapani na kunisalimia shemeji yake sikuona vibaya nikamsimulia kisa cha mdogo wake na kumtaka amkanye kwani yule ni mzee wake yapaswa kumuhishimu.

Basi hapo mapenzi yaligeuka yakawa uhasimu alipotuona tunaongea na dada yake yeye hakurudi tena pale akaa pembeni ili kumrizisha nikamuambia njoo tukae wote "Sina ten muda wa kukaa njee naenda kulala" hilo ndilo lililokua jibu lake.

Niliendelea kupiga stori na dada yake na kumuambia unaona majibu ya mdogo wako hayo jeee huko katika ndoa itakuaje " Shem tabia ni kama ngozi mvumilie tuuu" alinijibu

Nikamuita mupenzi aje nimuage niondoke " kama umechoka kutoa umbea nenda zako" mi nikaamua kuwasha usafiri wangu na kuondoka.

Niko njiani kuelekea home sms kibao
Ukikaa na malaya wako mi sitaki kuongelewa km mimi sikufai basi mchukuwe yeye tena namba yake nataka ufute ukome kunidiskasi na mpuuzi yule tabia yako hii sijapenda

Sms ziko kama 10 kapiga simu sijapokea kaengeza na nyengine sms za kulani

"Bby samahani zilikua ni hasira tuuu plz pokea simu yangu"

Mi mawazo yananipa nimwage manyanga hasa kwa vile nishagegeda sana maana naona huko katika ndoa kutakua ni sawa na uwanja wa fujo kwa staili hii

Wadau niambieni munaonaje hii hali?
jaalia imekutokea ww

Mjomba umesomeka vizuri ila siku nyingine kabla ya kupost topic jaribu kupiga msasa maandiko yako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom