Heeee mama kumbe ushenzi uliuanza zamani..........

Heeee mama kumbe ushenzi uliuanza zamani..........

Usimlaumu sana inawezekana ndo familia yao ilivyo..kuna baadhi ya familia aisee ukisikiliza mazungumzo yao hauwezi kuelewa nani mkubwa nani mdogo....sasa sijui wakiolewaga wanakuaje!
 
Huyo kimeo hafai, hana adabu, staha, na hakufunzwa. Mkiingia kwenye ndoa ugomvi ni kila leo, mke anatakiwa kuwa mtaratibu, mwenye adabu, kiasi na heshima.
Ukioa huyo nyumba yenu itakuwa pango la wanyang'anyi
 
Je hao watoto na mama yao hawana mzazi wa kiume hapo home? nijibu nikusaidie ....
 
Sasa hapo unasubiri nini na wewe sasa kama sio mbishi basi king'ang'anizi.
 
Kaka huyo tupa huko, kama tu ndugu wa kuzaliwa naye anakwambia unaongea na malaya hao wa kwako itakuwaje

Na kama mama yake mzazi anadiriki kumwita mshenzi tena mbele ya mkwe mtarajali, unatarajia mama yako atamwitaje....

Tafakari, chukua hatua..........
 
Baba yake aliachana na mama yao miaka 2 kabla ya baba yao huyo kufariki baada ya kufariki baba yao wote walikua wanajilea wenyewao ndani ya nyumba ya baba yao hawakuhama
 
Habari za mda huu wana MMU

Majira haya ya saa 4 usiku natoka kwa mupenzi ninaetarajia kumtia chuo (ndoa) aliniita nimpelekee hela ya kujikimu kwa matumizi.

Nimefika tumekaa barazani mara kapita mama yake alikua ameletewa ugoro akausifu kwa kua ni mwingi akasema enzi anasoma chuoni alikua akibeba na kuenda nao kupiga uraibu huko chuoni na baazi ya wanafunzi walikua wakimuomba na alikua akiwapatia ila ilikua ukiwazingua mara walie,wengine hujikojolea.

"Mama kumbe ushenzi uliuanza zamani" maneno hayo yamemtoka mtarajiwa wangu kumuambia mama ake mzazi tukiwa barazani mi sikupenda nikamfinya kidogo kumuonesha nimechukia na asirejee tena.

"Unanifinya namna hii kwani yule ni mama yako" kauli hii ilizidi kunichoma na kunifanya nichukie zaidi na kujenga masuali yasio na majibu kwa haraka.

Alinyanyuka mchumba wangu kuenda kuchukua chakula ili amletee mtoto ale pale nje aliponyanyuka yeye akaja dada yake kuja kunipa kapani na kunisalimia shemeji yake sikuona vibaya nikamsimulia kisa cha mdogo wake na kumtaka amkanye kwani yule ni mzee wake yapaswa kumuhishimu.

Basi hapo mapenzi yaligeuka yakawa uhasimu alipotuona tunaongea na dada yake yeye hakurudi tena pale akaa pembeni ili kumrizisha nikamuambia njoo tukae wote "Sina ten muda wa kukaa njee naenda kulala" hilo ndilo lililokua jibu lake.

Niliendelea kupiga stori na dada yake na kumuambia unaona majibu ya mdogo wako hayo jeee huko katika ndoa itakuaje " Shem tabia ni kama ngozi mvumilie tuuu" alinijibu

Nikamuita mupenzi aje nimuage niondoke " kama umechoka kutoa umbea nenda zako" mi nikaamua kuwasha usafiri wangu na kuondoka.

Niko njiani kuelekea home sms kibao
Ukikaa na malaya wako mi sitaki kuongelewa km mimi sikufai basi mchukuwe yeye tena namba yake nataka ufute ukome kunidiskasi na mpuuzi yule tabia yako hii sijapenda

Sms ziko kama 10 kapiga simu sijapokea kaengeza na nyengine sms za kulani

"Bby samahani zilikua ni hasira tuuu plz pokea simu yangu"

Mi mawazo yananipa nimwage manyanga hasa kwa vile nishagegeda sana maana naona huko katika ndoa kutakua ni sawa na uwanja wa fujo kwa staili hii

Wadau niambieni munaonaje hii hali?
jaalia imekutokea ww
hamna kitu kibaya kama kiburi hata kama amechukia kitu lazima angeendelea kukaa nawe na baadae akueleze tena kwa pozi na busara!
hapo anaomba msamaha kwakua kuna kitu bado anataka kutoka kwako ambacho ni ndoa, je siku akishapata anachotaka atakuomba msamaha? tegemea makubwa zaidi ya hayo! kibaya zaidi anamuita dada yake malaya je yeye ni nani?
halafu nyumba zisizo na Baba ni Noma kuoa!

Nasema hivi piga chiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! pu..mba..fu.
 
Duh! Nimebaki mdomo wazi? Labda familia yao nzima ndiyo ipo hivyo, kuitana majina ya matusi ni kama a.k.a tu
 
Habari za mda huu wana MMU

Majira haya ya saa 4 usiku natoka kwa mupenzi ninaetarajia kumtia chuo (ndoa) aliniita nimpelekee hela ya kujikimu kwa matumizi.

Nimefika tumekaa barazani mara kapita mama yake alikua ameletewa ugoro akausifu kwa kua ni mwingi akasema enzi anasoma chuoni alikua akibeba na kuenda nao kupiga uraibu huko chuoni na baazi ya wanafunzi walikua wakimuomba na alikua akiwapatia ila ilikua ukiwazingua mara walie,wengine hujikojolea.

"Mama kumbe ushenzi uliuanza zamani" maneno hayo yamemtoka mtarajiwa wangu kumuambia mama ake mzazi tukiwa barazani mi sikupenda nikamfinya kidogo kumuonesha nimechukia na asirejee tena.

"Unanifinya namna hii kwani yule ni mama yako" kauli hii ilizidi kunichoma na kunifanya nichukie zaidi na kujenga masuali yasio na majibu kwa haraka.

Alinyanyuka mchumba wangu kuenda kuchukua chakula ili amletee mtoto ale pale nje aliponyanyuka yeye akaja dada yake kuja kunipa kapani na kunisalimia shemeji yake sikuona vibaya nikamsimulia kisa cha mdogo wake na kumtaka amkanye kwani yule ni mzee wake yapaswa kumuhishimu.

Basi hapo mapenzi yaligeuka yakawa uhasimu alipotuona tunaongea na dada yake yeye hakurudi tena pale akaa pembeni ili kumrizisha nikamuambia njoo tukae wote "Sina ten muda wa kukaa njee naenda kulala" hilo ndilo lililokua jibu lake.

Niliendelea kupiga stori na dada yake na kumuambia unaona majibu ya mdogo wako hayo jeee huko katika ndoa itakuaje " Shem tabia ni kama ngozi mvumilie tuuu" alinijibu

Nikamuita mupenzi aje nimuage niondoke " kama umechoka kutoa umbea nenda zako" mi nikaamua kuwasha usafiri wangu na kuondoka.

Niko njiani kuelekea home sms kibao
Ukikaa na malaya wako mi sitaki kuongelewa km mimi sikufai basi mchukuwe yeye tena namba yake nataka ufute ukome kunidiskasi na mpuuzi yule tabia yako hii sijapenda

Sms ziko kama 10 kapiga simu sijapokea kaengeza na nyengine sms za kulani

"Bby samahani zilikua ni hasira tuuu plz pokea simu yangu"

Mi mawazo yananipa nimwage manyanga hasa kwa vile nishagegeda sana maana naona huko katika ndoa kutakua ni sawa na uwanja wa fujo kwa staili hii

Wadau niambieni munaonaje hii hali?
jaalia imekutokea ww

Wewe mwenyewe ndiyo una matatizo. Huyu ilitakiwa uwe umeshamjua kabla na pia hapakuwa na haja ya kuhitaji opinion za watu weye jukwaa hili, kwa swala ambalo liko obvious kama hili. Be careful next time usije ukaangukika tena mikono mwa kiumbe chenye tabia zinazofanana nza huyu!
 
amini mlima kilimanjaro utaamia dar siku moja, lakini si tabia ya mtu............. ila kama upo tayari kuanzisha uzi kila siku ingiza ndani tu ................ wakujadili tupo mkuuu................ ila jiongeze aisee duh.... yani kashindwa kumuheshimu mzazi wake unafikiri wewe ndo ataweza sijui lakini...... mama ni mama hata awe chizi lazim aheshimiwe kama amri ya nne inavyosema.... kwa hiyo kinyume cha heshima ni dharau kwa hiyo huyo binti siku zake za kuishi ni chache na kama ni nyingi si za baraka.... hapo nadhani unaweza chagua sasa,..
 
hamna kitu kibaya kama kiburi hata kama amechukia kitu lazima angeendelea kukaa nawe na baadae akueleze tena kwa pozi na busara!
hapo anaomba msamaha kwakua kuna kitu bado anataka kutoka kwako ambacho ni ndoa, je siku akishapata anachotaka atakuomba msamaha? tegemea makubwa zaidi ya hayo! kibaya zaidi anamuita dada yake malaya je yeye ni nani?
halafu nyumba zisizo na Baba ni Noma kuoa!

Nasema hivi piga chiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! pu..mba..fu.

kweli kabisa mkuu yani hata dada yake amuheshimu na mama sijui wewe ambae ujazaliwa nae tumbo moja ataanzia kuheshimu wapi ? akijichanganya akaingiza ndani kudadeki kutakuwa na uzi kibao kutoka kwake,,,,,,,,,,
 
Sasa hapo unasubiri nini na wewe sasa kama sio mbishi basi king'ang'anizi.

kama anaendelea kung'ang'ania anunue mguu wa kuku mapema sana kwa ajili ya kujianzishia safari ya milele........
 
Hafai huyo anaonekana hakuheshim ndo wale wakati wa majanga atasepa km hapo tu huna tatzo bado ana dharau hivyo ukifulia au ukipata ukilema atakusikiliza kwel
Anyway mm cdhan ushaur unaweza mbadilisha mtu ni ww na moyo wako unavyotaka
 
Mi mawazo yananipa nimwage manyanga hasa kwa vile nishagegeda sana maana naona huko katika ndoa kutakua ni sawa na uwanja wa fujo kwa staili hii

Ahahahahahahahaahah.....in the first place ulikuwa na lengo la kumtia chuo kweli???

Again, mama yake alionesha kukasirishwa vyovyote na maneno ya bintiye?

#uswazi .com
 
aisee kaka huyo hakufai kabisa, tena usijute kumuacha, atakusumbua sana...hana heshima hata kidogo ndio nini...atakuabisha mbele za watu, majirani, ndugu, ilimradi tafrani..

tangu nimezaliwa hadi leo nimekuwa na watoto wangu na nyumba yangu sijawahi kutamka neno kama hilo mbele ya mzazi wangu achilia mbali kumwambia yeye...tena mbele ya mume mtarajiwa!!!!!kha

huyo hana adabu kabisa....tupa kule..huwezi pata utulivu kutoka kwake na huwezi pata watoto wazuri kwa mama wa aina hiyo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom