Heche na Mnyika wasaidiwe, wanacheza ngoma wasiyoijua

Heche na Mnyika wasaidiwe, wanacheza ngoma wasiyoijua

RIZI WANI KIKWETE
SALMA KIKWETE
ABDULLA MWINYI
ABASI MWINYI
ASMA MWINYI
GEOFREY MIZENGO
MTOTO WA SAMIA WENU
MCHENGERWA
KIMBAO
MTOTO WA WASIRA
MTOTO WA MASABURI
Wewe jina lako lipo hapo? kama halipo endelea kuwa CHAWA Msalimie luca
Leo tumezindua ujenzi wa mtambo wa kuchenjua uranium hapa Tanzania, mama Samia sio mtu wa maneno maneno mengi. Jana nimekwenda dar kutoka Kijiji kwetu, eebhanae!!! Nilipotea, barabara za mwendokasi ni Kila kona. Ndugu yangu alikuwa anakaa kule mwisho wa lami, hadi nikapotea kufika kwake.

Mtashindana lakini hamtashinda.
 
Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.

Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.

Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.

Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
.
Nawe unatamani ungekuwa mke wa Lissu?
 
hapo kwenye kukinukisha vibaya ndio nimepape.nda
Eti, the world is watching. Mugambe alimwambia Waziri mkuu wa uingereza kuwa " Blare keep your England, I will keep my Zimbabwe". Yaani tuendee kuwaogopa wakoloni wetu wa zamani kuwaadhibu wakora wetu.
 
Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.

Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.

Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.

Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Chuki kwa Mbowe....
 
Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.

Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.

Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.

Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Usaidiwe wewe uache umaku
 
Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.

Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.

Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.

Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Una wivu wa kichoko
 
Aaaaa kaka, hii ni ile ya usimdharau adui Yako. Na hii imekuja baada ya daudi kumpiga Goliath kwa silaha dhaifu sana. Kule jeshini hakuna adui mdogo na mkubwa.
NI kweli na ndiyo maana CCM hawataki kabisa Reforms, they know 100% ila sasa sijui watakwepa hadi lini.
 
Mleta mada ilikuwaje hadi mke wa Lissu akaenda Ubelgiji.

Hebu jibu hili swali ndio tuendelee na mjadala.
 
.
Nawe unatamani ungekuwa mke wa Lissu?
Sawa, mke na watoto wa Lissu ambao walipaswa kumsindikiza mahakamani na kumpelekea chakula mahabusu wako majuu wanakula bata. Kwahiyo wale wanaomsindikiza mahakamani ni wake zake wengine?
 
Mleta mada ilikuwaje hadi mke wa Lissu akaenda Ubelgiji.

Hebu jibu hili swali ndio tuendelee na mjadala.
Lissu Sasa ana conflict of interest kati ya maslahi ya Tanzania na maslahi ya Ulaya. Maana ni mnufaika na nchi za Magharibi. Huyu analo deni la kulípa huko Ulaya n Marekani kwa kumhifadhi wakati anakorofishana na serikali yake, anaumwa, mkewe kufanya kazi huko na watoto wake kusomeshwa. Hivyo, hawezi kuwa Rais wa nchi hii kwasababu hivyo. Hataweza kuwatumikia mabwana wawili. Atauza nchi.
 
Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.

Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.

Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.

Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Mafi matupu!🚮🚮🚮
 
Sawa, mke na watoto wa Lissu ambao walipaswa kumsindikiza mahakamani na kumpelekea chakula mahabusu wako majuu wanakula bata. Kwahiyo wale wanaomsindikiza mahakamani ni wake zake wengine?

Ndo uoelewe naye sasa uwe unamsindikiza
 
Mke wa Lissu amepewa kazi ubelgiji, watoto wake wanasomeshwa Marekani. Mke wa Lema amepewa kazi Canada na watoto wake wanasoma Canada. Haya ni mafao ya ukimbizi kwamba nchini kwao sio salama.

Ili mafao haya "manono" yaendelee kuwepo angalau watoto wamalize masomo, Tanzania lazima kusiwe shwari angalau hata kwao tu. Hii maana yake Lissu, Lema na wenzao wanaopata mafao ya ukimbizi hawezi kufurahia malidhiano hata kidogo. Faida yao hii ya ukimbizi inapatikana kwa "kukinukisha vibaya sana" kunakoweza kuzalisha majeruhi na kamatakamata ambayo itatokea mbele ya camera za watu wao ili kuhalalisha status yao ya ukimbizi.

Heche na Mnyika mafao kama haya hawajapati, wanaotumiwa tu. Familia zao tunazo hapahapa kama sisi. Wanacheza music wasiyojua.

Tafadhali sana watu Hawa Heche na Mnyika msiwapige kirungu Wala kuwakamata, wametingwa tu na mkumbo.
Umekuwa na mada nyingi mno, na zote za kipuuzi puuzi. Hili Genge la Samia wewe ndiye jemadari wao mkuu? Siku hizi za karibuni , si wewe pekee, bali kikosi kizima cha mizoga ni kama mmepewa amri ya kushambulia hapa JF?
Kuna jambo limewavuruga sana akili GENGE. Na huu ni mwanzo tu!
 
hili lipo wazi mbona hasa Heche , Mnyika ni mtoto wa mjini anaelewa ila huyu bush loya subiri tuu
Naye mmepanga kumsweka ndani?
mbona tayari mmekwisha chelewa; maana NO REFORM, NO ELECTION inakuja kuwazoa GENGE lote.
Msifikiri kutosikia lolote juu ya NORNOE ndio imepotea. Hilo ni kama gonjwa la hatari linakula ndani kwa ndani bila wewe kujuwa. Siku ukianza kujihisi una gonjwa; kazi tayari isha kwisha!
 
RIZI WANI KIKWETE
SALMA KIKWETE
ABDULLA MWINYI
ABASI MWINYI
ASMA MWINYI
GEOFREY MIZENGO
MTOTO WA SAMIA WENU
MCHENGERWA
KIMBAO
MTOTO WA WASIRA
MTOTO WA MASABURI
Wewe jina lako lipo hapo? kama halipo endelea kuwa CHAWA Msalimie luca
Huyu 'Kavulata' ni kiungo muhimu ndani ya GENGE la Samia Suluhu Hassan. Kuhangaika kote huku ni kwa sababu ya maslahi ya GENGE.
Siku GENGE litakapo sambaratika hutamsikia tena humu JF.
Sasa hivi kiroho kiko juu juu kama mama mwenye utungu wa mwana.
 
Back
Top Bottom