Lissu anazijua lugha zote ambazo hazikubaliki Afrika na Tanzania na singida na kwenye kabila lao na kwa wazazi wake. Kama anaeitumia hizo maana yake anajua nn kitatokea.
Watu kama Lissu wako wengine Afrika, lakini kote huko watu hao hawajui dafu mbele za watawala. Uganda wako Besije na Bob wine, South Africa yuko Malema, Zimbabwe yuko Chivangilai, msumbiji yuko, Rwanda, Congo, Kenya, Sudan nk kote wapo Hawa, lakini hawafui dafu.
Shida kubwa ni kwamba watawala Hawa wa kiafrika wana mahusiano makubwa na nchi za Magharibi ambazo akina Lissu wanasema the world is watching. Wanadhamini the world haioni kuwa museveni, kagame, Qatara, wameng'ang'ania madarakani?