Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 7,289
- 7,861
Uchunguzi wa mwili wa marehemu unasemaje!? ... CHADEMA ILIWAKILISHWA PIA!Tanzania ilipofika inasiitisha Sana.
Unua kisa Madaraka?
Watoto wanakosa Baba.
Mama anakuwa Mjane
Nguzo ya Familia Inatoweka.
Vipi Jamii ya watanzania wanaionaje selikali???
Jumuia za kimataifa zinatuonaje????
OMBA YASIKUPATE.
HAKUNA ALIYE SALAMA.