Heche kwa uwezo wake mkubwa wa kuelezea vitu kwa ufasaha na kwa ufupi. Pamoja na ujasiri wake amekuwa mashuhur kuliko vijana wenzake wote wanasiasa . Kwa sasa anamzidi Mwigulu, Biteko, Makamba, Lema, zitto kwasababu ya umahiri wake wa kueleweka na watu wa kawaida.
Tumpe maua yake talent ni talent tu inatoka kwa Mungu + jitihada
Tumpe maua yake talent ni talent tu inatoka kwa Mungu + jitihada