Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,448
- 4,475
We jamaa ndo mmekuona fala yani unalinganisha simu inayofurahia ultra wide camera miaka miwili mbele baada ya android kucheza nayo kitamboooSio fair kabia kulinga isha iphone na Samsung. inabidi uiombe Apple msamaha.
Simu yeyote inayotumia android ni takataka
nunua iphone 11 kama unataka simu bora, ila kama alimradi mawasiliano, uweke line 2 kwenye simu moja nunua Samsung.
Mnaotumia iphone nawaona kama mnaotumia glorified shit
Its glorified ...but its still shit